Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Walowezi

  • Wazayuni wauhujumu tena Msikiti wa Al Aqsa

    Wazayuni wauhujumu tena Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 20, 2021 12:25

    Waloweiz wa Kizayuni wameuhujumu kwa mara nyingine Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huku wakipata himaya ya askari wa utawala haramu wa Israel wakati wakitekeleza jinai hiyo.

  • UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    Sep 29, 2020 07:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa zaidi ya nyumba mia tano za raia wa Palestina.

  • Wazayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa

    Wazayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 10, 2020 04:54

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanapata himaya ya wanajeshi wa utawala wa Israel wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Dec 18, 2019 11:41

    Walowezi wa Kizayuni leo wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Dec 17, 2019 08:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuwekwa jina la walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina katika orodha ya magaidi.

  • Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    May 05, 2019 13:44

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni Israel vimeripoti kwamba jumla ya raia watano wa utawala huo wameangamizwa katika mashambulio ya makombora ya Wapalestina kuelekea vitongoji vya walowezi ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Makumi ya Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Makumi ya Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Feb 08, 2019 14:52

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jan 11, 2019 04:13

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia tena Msikiti wa al-Aqswa wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yatoa indhari ya kuvamiwa maeneo ya kandokando ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yatoa indhari ya kuvamiwa maeneo ya kandokando ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Nov 22, 2018 08:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetahadharisha kuhusu njama inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuyavamia na kuyakalia kikamilifu maeneo ya kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Oct 31, 2018 08:16

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa al-Aqswa wakiwa wanasaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS