Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu 38 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Watu 38 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Jun 19, 2019 03:04

    Watu wasiopungua 38 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Mali.

  • Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Jun 05, 2019 13:37

    Kundi la kigaidi la Daesh limedai kuwa ndilo lililohusika na shambulizi lililoua watu kadhaa katika mkoa ulioathiriwa na ugonjwa wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Jun 05, 2019 11:28

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa askari wanane wa serikali katika mkoa wa Sinai wa kaskazini mwa nchi hiyo.

  • 27 waua katika ufyatuaji risasi Marekani

    27 waua katika ufyatuaji risasi Marekani

    Apr 29, 2019 14:29

    Watu wasiopungua 91 wameuawa au kujeruhiwa katika matukio 72 ya ufyatuaji risasi katika masaa 24 yaliyopita katika maeneo tofauti ya Marekani

  • Askari 10 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi la Mali

    Askari 10 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi la Mali

    Apr 21, 2019 13:46

    Watu wenye silaha wameua askari wasiopungua 10 wa jeshi la Mali baada ya kushambulia kambi moja ya jeshi hilo mapema leo katika eneo la Guire katikati mwa nchi.

  • Spika wa Bunge Tobrok Libya amuunga mkono Haftar, watu 121 wauawa, 516 wajeruhiwa

    Spika wa Bunge Tobrok Libya amuunga mkono Haftar, watu 121 wauawa, 516 wajeruhiwa

    Apr 14, 2019 16:48

    Spika wa Bunge la Libya ametangaza kumuunga mkono Jenerali Khalifa Haftar huku mapigano yakiendelea katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Watu 20 wauawa na 'watu wenye sare za kijeshi' Nigeria

    Watu 20 wauawa na 'watu wenye sare za kijeshi' Nigeria

    Apr 09, 2019 14:36

    Kwa akali watu 20 wameuawa baada ya watu waliokuwa wamevalia magwanda ya kijeshi kushambulia kijijini kimoja katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria.

  • Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan

    Watu 60 wameuawa katika ghasia na maandamano nchini Sudan

    Apr 07, 2019 07:12

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Physicians for Human Rights limesema kuwa, watu wasiopungua 60 wameuliwa na maafisa usalama nchini Sudan katika kipindi cha miezi mitatu ya ghasia na maandamano dhidi ya serikali.

  • Zaidi ya askari 70 wa muungano vamizi wa Saudia wameangamizwa kwa kombora la Wayemen

    Zaidi ya askari 70 wa muungano vamizi wa Saudia wameangamizwa kwa kombora la Wayemen

    Mar 20, 2019 16:17

    Katika shambulizi la kombora lililotekelezwa jana usiku na jeshi la Yemen kwa kushirikiana na muqawama wa wananchi kuelekea kusini magharibi mwa Saudia, zaidi ya askari 70 wa muungano vamizi unaoongozwa na Saudia, wameangamizwa.

  • UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    Mar 12, 2019 07:40

    Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS