Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Raia 17 wauawa katika shambulizi jipya lililotokea katikati ya Mali

    Raia 17 wauawa katika shambulizi jipya lililotokea katikati ya Mali

    Feb 27, 2019 16:26

    Duru za usalama nchini Mali zimetangaza habari ya kuuawa raia 17 katika eneo la katikati mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Feb 21, 2019 02:55

    Raia wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Tundu Lissu atakiwa na Waziri Lugola kurejea Tanzania ili kusaidia upelelezi

    Tundu Lissu atakiwa na Waziri Lugola kurejea Tanzania ili kusaidia upelelezi

    Feb 14, 2019 08:11

    Wakati Tundu Lissu Mbunge wa upinzani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania akiendelea na ziara zake nchini Marekani, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola amemtaka mwanasiasa huyo kurejea nchini ili kusaidia upelelezi wa tukio lake la kushambuliwa kwa risasi.

  • Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Jan 28, 2019 08:10

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limedai kuwa wanachama wake wametekeleza shambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua askari 30 wa nchi hiyo.

  • UN: 13 wauwa kabla ya kuanza mazungumzo ya kusaka amani CAR

    UN: 13 wauwa kabla ya kuanza mazungumzo ya kusaka amani CAR

    Jan 23, 2019 07:48

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu 13 wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku chache kabla ya kuanza duru mpya ya mazungumzo ya amani kati ya serikali na makundi ya upinzani.

  • 13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya

    13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya

    Jan 19, 2019 15:39

    Wizara ya Afya ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 13 wengine katika mapigano mapya yaliyotokea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Mapigano ya watu wenye silaha yashtadi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Mapigano ya watu wenye silaha yashtadi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Jan 19, 2019 07:33

    Makundi yenye silaha yamezidisha mashambulizi yao nchini Nigeria ambapo katika kipindi cha wiki tatu zilizopita zaidi ya askari 100 wa nchi hiyo wameuawa au kutekwa nyara.

  • Makumi ya watu wauawa wakipigania dhahabu nchini Chad

    Makumi ya watu wauawa wakipigania dhahabu nchini Chad

    Jan 15, 2019 02:42

    Makumi ya watu wameuawa katika mapigano baina ya wanamgambo wa Chad na Sudan katika mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Chad.

  • Watu 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Watu 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Jan 02, 2019 15:09

    Kwa akali raia 37 wa kabila la Fulani wameuawa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Mopti nchini Mali.

  • Askari polisi 10 waviziwa na kuuawa kaskazini mwa Burkina Faso

    Askari polisi 10 waviziwa na kuuawa kaskazini mwa Burkina Faso

    Dec 28, 2018 15:57

    Maafisa 10 wa polisi ya Burkina Faso wameuawa katika hujuma dhidi yao katika eneo la Toeni, kaskazini magharibi mwa nchi karibu na mpaka wa Mali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS