-
Raia 17 wauawa katika shambulizi jipya lililotokea katikati ya Mali
Feb 27, 2019 12:56Duru za usalama nchini Mali zimetangaza habari ya kuuawa raia 17 katika eneo la katikati mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria
Feb 20, 2019 23:25Raia wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Tundu Lissu atakiwa na Waziri Lugola kurejea Tanzania ili kusaidia upelelezi
Feb 14, 2019 04:41Wakati Tundu Lissu Mbunge wa upinzani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania akiendelea na ziara zake nchini Marekani, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola amemtaka mwanasiasa huyo kurejea nchini ili kusaidia upelelezi wa tukio lake la kushambuliwa kwa risasi.
-
Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Jan 28, 2019 04:40Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limedai kuwa wanachama wake wametekeleza shambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua askari 30 wa nchi hiyo.
-
UN: 13 wauwa kabla ya kuanza mazungumzo ya kusaka amani CAR
Jan 23, 2019 04:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu 13 wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku chache kabla ya kuanza duru mpya ya mazungumzo ya amani kati ya serikali na makundi ya upinzani.
-
13 Wauawa katika mapigano mapya nchini Libya
Jan 19, 2019 12:09Wizara ya Afya ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kuuawa watu 13 wengine katika mapigano mapya yaliyotokea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Mapigano ya watu wenye silaha yashtadi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Jan 19, 2019 04:03Makundi yenye silaha yamezidisha mashambulizi yao nchini Nigeria ambapo katika kipindi cha wiki tatu zilizopita zaidi ya askari 100 wa nchi hiyo wameuawa au kutekwa nyara.
-
Makumi ya watu wauawa wakipigania dhahabu nchini Chad
Jan 14, 2019 23:12Makumi ya watu wameuawa katika mapigano baina ya wanamgambo wa Chad na Sudan katika mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Chad.
-
Watu 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali
Jan 02, 2019 11:39Kwa akali raia 37 wa kabila la Fulani wameuawa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Mopti nchini Mali.
-
Askari polisi 10 waviziwa na kuuawa kaskazini mwa Burkina Faso
Dec 28, 2018 12:27Maafisa 10 wa polisi ya Burkina Faso wameuawa katika hujuma dhidi yao katika eneo la Toeni, kaskazini magharibi mwa nchi karibu na mpaka wa Mali.