Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia

    Dec 15, 2018 07:18

    Watu wasiopungua 21 wameuawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia.

  • Umoja wa Mataifa: Wanahabari 88 wameuawa mwaka huu 2018

    Umoja wa Mataifa: Wanahabari 88 wameuawa mwaka huu 2018

    Nov 02, 2018 07:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 85 wameuawa tokea mwanzoni mwa mwaka huu 2018 hadi sasa katika sehemu mbalimbali duniani.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Oct 27, 2018 05:52

    Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka

    Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka

    Oct 15, 2018 07:51

    Idadi ya wahanga wa mashambulio mawili ya kujiripua kwa mabomu iliyotokea kusini magharibi mwa Somalia imeongezeka. Taarifa zinasema kuwa watu 20 wamepoteza maisha na wengine 40 wamejeruhiwa katika miripuko hiyo miwili iliyopishana kwa dakika chache tu.

  • Saudi Arabia yaua raia 79 Yemen masaa 48 yaliyopita

    Saudi Arabia yaua raia 79 Yemen masaa 48 yaliyopita

    Oct 10, 2018 08:04

    Duru za usalama na hospitali nchini Yemen zimeripoti kuwa ndege za kivita za Saudi Arabia zimeua raia wasiopungua 79 katika kipindi cha masaa 48 yaliyopita katika mkoa wa al Hudaydah pekee.

  • Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Oct 06, 2018 15:29

    Watu wasiopungua 50 wamepoteza maisha na wengine 100 wamepata majeraha ya moto baada ya lori la mafuta lililopinduka kuanza kuwaka moto huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 16 wauawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC

    Watu 16 wauawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC

    Sep 23, 2018 16:00

    Watu 16 wameuawa katika shambulio jipya la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Sep 21, 2018 13:52

    Wizara ya Afya nchini Libya imetoa indhari juu ya kushadidi mapigano katika mji mkuu Tripoli, ambapo idadi ya waliouawa katika ghasia hizo imeongezeka na kufikia watu 96, wakiwemo raia.

  • Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 20, 2018 07:49

    Duru za habari zimeripoti kuwa watu 19 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo katika kijiji kimoja kilichoko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Aug 19, 2018 15:18

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kupoteza maisha wahajiri wanne baada ya boti yao kuungua moto katika fukwe za Sfax, mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS