-
Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera
Dec 26, 2018 07:24Wanajeshi wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria wameuawa kufuatia shambulio la kkundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Yobe kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Magaidi 14 wauawa kaskazini mwa Misri
Dec 24, 2018 08:01Maafisa usalama wa Misri wametangaza habari ya kuuawa magaidi 14 katika mkoa wa Sinai Kaskazini wa kaskazini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018
Dec 18, 2018 15:39Jumuiya ya Maripota Wasio na Mipaka (RSF) imesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 80 wameuawa mwaka huu 2018 katika sehemu mbalimbali duniani.
-
Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Ethiopia
Dec 15, 2018 07:18Watu wasiopungua 21 wameuawa katika mapigano ya kikabila kusini mwa Ethiopia.
-
Umoja wa Mataifa: Wanahabari 88 wameuawa mwaka huu 2018
Nov 02, 2018 07:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 85 wameuawa tokea mwanzoni mwa mwaka huu 2018 hadi sasa katika sehemu mbalimbali duniani.
-
Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza
Oct 27, 2018 05:52Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Idadi ya vifo katika miripuko wa Somalia yaongezeka
Oct 15, 2018 07:51Idadi ya wahanga wa mashambulio mawili ya kujiripua kwa mabomu iliyotokea kusini magharibi mwa Somalia imeongezeka. Taarifa zinasema kuwa watu 20 wamepoteza maisha na wengine 40 wamejeruhiwa katika miripuko hiyo miwili iliyopishana kwa dakika chache tu.
-
Saudi Arabia yaua raia 79 Yemen masaa 48 yaliyopita
Oct 10, 2018 08:04Duru za usalama na hospitali nchini Yemen zimeripoti kuwa ndege za kivita za Saudi Arabia zimeua raia wasiopungua 79 katika kipindi cha masaa 48 yaliyopita katika mkoa wa al Hudaydah pekee.
-
Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC
Oct 06, 2018 15:29Watu wasiopungua 50 wamepoteza maisha na wengine 100 wamepata majeraha ya moto baada ya lori la mafuta lililopinduka kuanza kuwaka moto huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 16 wauawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC
Sep 23, 2018 16:00Watu 16 wameuawa katika shambulio jipya la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.