Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wapalestina

  • Wito wa Iran kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds

    Wito wa Iran kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 03:01

    Sambamba na kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds itakayoadhimishwa kote duniani kesho Ijumaa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Jun 29, 2016 09:12

    Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi hadi Julai 4.

  • Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Wapaestina wakasirishwa na kufufuliwa uhusiano wa Israel na Uturuki

    Jun 28, 2016 02:49

    Wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wameghadhabishwa na hatua ya Uturuki kuhuisha uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala huo, baada ya kuukatiza zaidi ya miaka mitano iliyopita.

  • Kushadidi hatua zisizo za kiutu za Israel dhidi ya Wapalestina

    Kushadidi hatua zisizo za kiutu za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 20, 2016 23:19

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuchukua hatua kali zisizo za kiutu dhidi ya Wapalestina ili kufikia malengo yake ya kujipanua.

  • UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel  dhidi ya Wapalestina

    UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 21, 2016 11:28

    Umoja wa Mataifa umeelezea kusikitishwa kwake na ongezeko la jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.

  • UNICEF: Israel imeua watoto 25 wa Kipalestina katika muda wa miezi 3

    UNICEF: Israel imeua watoto 25 wa Kipalestina katika muda wa miezi 3

    May 15, 2016 23:26

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto 25 wa Kipalestina waliuawa katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho ya mwaka 2015, wakati ilipoanza Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    May 08, 2016 08:37

    Mamia ya wananchi wa Palestina wameingia mabarabarani kufanya maandamano ya kulaani mzingiro wa kibaguzi wa takriban mwongo mmoja uliowekwa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil

    Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil

    Mar 14, 2016 12:49

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana watatu wa Kipalestina karibu na mji wa Al-Khalil katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Mar 12, 2016 11:54

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamevunja makubaliano ya kusimamisha vita kati yao na Wapalestina kwa kuwashambulia kwa risasi wavuvi wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS