Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia

    Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia

    Jul 27, 2020 01:29

    Kufuatia kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh, rais wa nchi hiyo Kais Saied, amemteua waziri wa mambo ya ndani Hichem Mechichi kuwa waziri mkuu mpya na kumtaka aunde baraza jipya la mawaziri.

  • Kuongezeka mashinikizo ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni; upinzani wa Ulaya kwa mpango wa kumegwa ardhi zaidi za Palestina

    Kuongezeka mashinikizo ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni; upinzani wa Ulaya kwa mpango wa kumegwa ardhi zaidi za Palestina

    Jul 16, 2020 07:59

    Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kumega asilimia 30 ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ulizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ulizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.

  • Wazayuni waandamana wakishinikiza kupandishwa kizimbani Benjamin Netanyahu

    Wazayuni waandamana wakishinikiza kupandishwa kizimbani Benjamin Netanyahu

    May 10, 2020 07:42

    Mamia ya wakazi wa Tel Aviv, mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano mjini humo kupinga Baraza la Mawaziri lililoundwa na Benjamin Netanyahu na kushinikiza kupandishwa kizimbari waziri mkuu huyo wa utawala pandikizi wa Kizayuni.

  • Avigdor Lieberman ataka kupitishwa haraka sheria ya kumzuia Netanyahu kuwa waziri mkuu

    Avigdor Lieberman ataka kupitishwa haraka sheria ya kumzuia Netanyahu kuwa waziri mkuu

    Apr 21, 2020 02:57

    Avigdor Lieberman, Waziri wa Zamani wa Vita wa Utawala Haramu wa Israel amemtaka spika wa bunge la utawala huo kupitisha mpango wa kumzuia Benjamin Netanyahu kuwa waziri mkuu.

  • Waziri Mkuu mteule wa Iraq: Mamlaka ya kitaifa ya kujitawala ni mstari mwekundu kwangu

    Waziri Mkuu mteule wa Iraq: Mamlaka ya kitaifa ya kujitawala ni mstari mwekundu kwangu

    Apr 11, 2020 04:15

    Waziri Mkuu mpya mteule wa Iraq Mustafa al-Kadhimi amesema, mafanikio ya nchi hiyo katika mahusiano ya kimataifa yatapatikana kwa "kuheshimiana na kushirikiana".

  • Adnan al Zurfi aunga mkono harakati ya al Hashd al Sha'abi

    Adnan al Zurfi aunga mkono harakati ya al Hashd al Sha'abi

    Mar 27, 2020 02:36

    Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Iraq ameiunga mkono harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq ya al Hashd al Sha'abi.

  • Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Mar 09, 2020 10:15

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdulla Hamdok amenusurika kifo leo kufuatia mlipuko wa gari uliolenga gari lake katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

  • Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Feb 06, 2020 07:08

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alipandishwa kizimbana jana kwa tuhuma za kumuua mkwe wa kwanza wa kiongozi huyo siku mbili kabla ya mumewe hajababidhiwa ofisi mwaka 2017.

  • Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili

    Waziri Mkuu mpya wa Lebanon; vipaumbele vyake na changamoto zinazomkabili

    Dec 20, 2019 12:12

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amemtangaza Hassan Diab, shakhsia miongoni mwa Waislamu wa madhehebu ya Sunni na waziri wa zamani wa elimu ya juu wa nchi hiyo, kuwa waziri mkuu mpya na kumpa jukumu la kuunda serikali.

  • Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Dec 04, 2019 03:01

    Watu 333 watatoa ushahidi dhidi ya Benjamin Netanyahu Kwa mujibu wa mashtaka yaliyowasilishwa kwa bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) kuhusu mafaili ya ufisadi yanayomkabili Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS