Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri wa Afya

  • Vifo vya corona vyapungua kwa asilimia 70 nchini Iran

    Vifo vya corona vyapungua kwa asilimia 70 nchini Iran

    Jan 07, 2021 04:12

    Waziri wa Afya wa Iran ametangaza kuwa vifo vinavyosababishwa na virusi vya corona vimepungua kwa asilimia 70 hapa nchini katika kipindi cha siku 45 zilizopita.

  • Waziri wa Afya wa Iran asisitiza ulazima wa kukabiliana na vikwazo haramu vya Marekani

    Waziri wa Afya wa Iran asisitiza ulazima wa kukabiliana na vikwazo haramu vya Marekani

    Sep 08, 2020 08:40

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran ametaka kutolewa wito wa kimataifa wa kuhitimishwa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vya upande mmoja vya Marekani.

  • Mtoto mmoja hufariki dunia nchini Yemen kila baada ya dakika tano

    Mtoto mmoja hufariki dunia nchini Yemen kila baada ya dakika tano

    Jun 03, 2020 03:02

    Msemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen, amesema kuwa, mtoto mmoja hufariki dunia nchini Yemen kila baada ya dakikat tano kutokana na utapiamlo na magonjwa mengine ya kuambukiza.

  • Iran yaiandikia barua WHO kulalamikia vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Iran yaiandikia barua WHO kulalamikia vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Nov 30, 2019 04:05

    Waziri wa Afya wa Iran amemuandikia barua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) akimtaka asinyamaze kimya mbele ya vikwazo vya Marekani dhidi ya watu wa Iran katika kununua dawa, chakula na bidhaa za kitiba.

  • Jeshi la Lebanon latahadharisha kuhusu fitina na njama mpya za MOSSAD

    Jeshi la Lebanon latahadharisha kuhusu fitina na njama mpya za MOSSAD

    Oct 29, 2019 08:20

    Jeshi la Lebanon limetoa taarifa likitangaza kuwa, ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook unaofanya kazi chini ya usimamizi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD kwa kutumia jina la "Jamal Fa" unatuma maombi na kutoa pesa kwa baadhi ya raia wa Lebanon.

  • Wayemeni elfu 20 hufariki dunia kila mwaka kwa saratani, sababu, mashambulizi ya Saudia

    Wayemeni elfu 20 hufariki dunia kila mwaka kwa saratani, sababu, mashambulizi ya Saudia

    Jun 25, 2019 22:23

    Waziri wa Afya wa Yemen ametangaza kuwa, raia elfu 20 hufariki dunia kila mwaka kwa maradhi ya saratani sambamba na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na waitifaki wake dhidi ya taifa hilo.

  • Wapalestina zaidi wauawa shahidi katika Maandamano ya Kurejea, Israel yaitangaza Gaza eneo la kijeshi

    Wapalestina zaidi wauawa shahidi katika Maandamano ya Kurejea, Israel yaitangaza Gaza eneo la kijeshi

    Oct 06, 2018 00:21

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa Wapalestina wasiopungua 195 wameshauawa shahidi hadi sasa na wengine zaidi ya 21,600 wamejeruhiwa tangu yalipoanza Maandamano ya Haki ya Kurejea katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.

  • Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe

    Madaktari wafanya tena mgomo nchini Zimbabwe

    Feb 16, 2017 04:00

    Madaktari, wauguzi na wahudumu wengine wa afya wameanza mgomo wa nchi nzima kushinikiza nyongeza ya mishahara na kuboreshwa mazingira ya kufanyia kazi.

  • Mgomo wa madaktari Kenya waingia siku ya 3, 20 waaga dunia

    Mgomo wa madaktari Kenya waingia siku ya 3, 20 waaga dunia

    Dec 07, 2016 03:59

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari na wauguzi katika hospitali za umma nchini Kenya imeongezeka na kufikia watu 20.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS