Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Pezeshkian: Hatutaacha mpango wetu wa amani wa nyuklia chini ya shinikizo lolote

    Pezeshkian: Hatutaacha mpango wetu wa amani wa nyuklia chini ya shinikizo lolote

    May 18, 2025 12:10

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Tehran kamwe haitaachana na mpango wake wa amani wa nyuklia.

  • Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran wafunguliwa mjini Mashhad

    Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran wafunguliwa mjini Mashhad

    May 13, 2025 12:27

    Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran, ulioandaliwa na Jumuiya ya Nyuklia ya Iran na kuungwa mkono na Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI), umefunguliwa katika mji wa Mashhad, uliopo kaskazini-mashariki mwa Iran.

  • Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka

    Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka

    May 05, 2025 12:11

    Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi amesema, kikosi hicho kiko mstari wa mbele kukabiliana haraka sana na tishio lolote dhidi ya nchi.

  •  Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    May 02, 2025 03:02

    Ofisi ya Bajeti ya Bunge la Marekani (CBO), taasisi ya shirikisho isiyoegemea upande wowote, imetangaza kwamba ikiwa Marekani inataka kuendelea kutumia uwezo wa vikosi vyake vya silaha za nyuklia, itahitaji kuongeza bajeti yake kwa kiwango kikubwa.

  • Grossi asisitiza nafasi ya diplomasia katika suala la nyuklia la Iran

    Grossi asisitiza nafasi ya diplomasia katika suala la nyuklia la Iran

    Apr 17, 2025 12:43

    Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), aliwasili Tehran Jumatano, Aprili 16, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, na Mohammad Eslami, Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran.

  • Wall Street Journal: Trump anahaha kutaka kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran

    Wall Street Journal: Trump anahaha kutaka kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran

    Apr 05, 2025 02:35

    Gazeti la Marekani la Wall Street Journal limewanukuu maafisa wa nchi hiyo na kuripoti kuwa, Washington inajaribu kutoa mashinikizo ili iweze kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran kuhusiana na kadhia ya nyuklia.

  • Waziri Mkuu wa Canada: Hatimaye Trump ataonyesha heshima kwetu na atataka mazungumzo

    Waziri Mkuu wa Canada: Hatimaye Trump ataonyesha heshima kwetu na atataka mazungumzo

    Mar 22, 2025 11:11

    Waziri Mkuu wa Kanada Mark Carney amesema mazungumzo mapana ya kibiashara baina ya nchi yake na Marekani hayatafanyika mpaka pale Trump atakapoonyesha heshima kwa uhuru na mamlaka ya kujitawala ya Canada.

  • Iran: Kumetolewa wazo jipya la kutatua masuala ya nyuklia na IAEA

    Iran: Kumetolewa wazo jipya la kutatua masuala ya nyuklia na IAEA

    Mar 13, 2025 09:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa, Tehran inalichunguza wazo jipya la kutatua masuala ya nyuklia ya Iran kati ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Russia kushirikiana na US kwenye faili la nyuklia la Iran

    Russia kushirikiana na US kwenye faili la nyuklia la Iran

    Mar 10, 2025 11:24

    Russia imeeleza nia ya kushirikiana na Marekani katika kushughulikia masuala ya Asia Magharibi, ikiwa ni pamoja na mradi wa nyuklia wa Iran, ikizingatiwa kuwa uhusiano wa Moscow na Washington unazidi kuimarika.

  • Iran: Haitatokea katu kufanywa mazungumzo ya kuufumua mpango wetu wa nyuklia

    Iran: Haitatokea katu kufanywa mazungumzo ya kuufumua mpango wetu wa nyuklia

    Mar 10, 2025 03:08

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba ikiwa lengo la kutaka kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ni "kuufumua mpango wa amani wa nyuklia wa Iran," mazungumzo kama hayo hayatafanyika katu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS