Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Kwa nini China inaamini kujitoa Marekani katika JCPOA ndio chanzo cha mgogoro wa sasa kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran?

    Kwa nini China inaamini kujitoa Marekani katika JCPOA ndio chanzo cha mgogoro wa sasa kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran?

    Oct 06, 2025 06:13

    China imetangaza kuwa, kujitoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ndio chanzo cha mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa kuhusiana na kadhia ya nyuklia ya Iran.

  • Iran na IAEA zaafikiana kurejesha ushirikiano; Araghchi aonya

    Iran na IAEA zaafikiana kurejesha ushirikiano; Araghchi aonya

    Sep 10, 2025 06:40

    Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) zimefikia makubaliano yenye lengo la kuandaa njia ya kurejesha ushirikiano kati ya pande hizo mbili.

  • Iran yaitaka dunia ilaani mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya nyuklia

    Iran yaitaka dunia ilaani mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya nyuklia

    Sep 05, 2025 11:02

    Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Iran amesema Marekani na utawala wa Israel zilifanya mashambulizi ya kimakusudi dhidi ya vituo vya nyuklia ya Iran, licha ya vituo hivyo kuwa chini ya usimamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Nyuklia.

  • Seneta wa Marekani: Mpango wa nyuklia wa Iran haujaangamizwa

    Seneta wa Marekani: Mpango wa nyuklia wa Iran haujaangamizwa

    Jun 28, 2025 06:26

    Chris Murphy, Seneta wa Marekani wa chama cha Democratic amesema, madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu kuangamizwa mpango wa nyuklia wa Iran hayana ukweli.

  • Watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii: Grossi ni kikaragosi cha Mossad dhidi ya Iran

    Watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii: Grossi ni kikaragosi cha Mossad dhidi ya Iran

    Jun 28, 2025 06:14

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Rafael Grossi ameshambuliwa vikali na watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii kwa kushirikiana na Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hasa baada ya kutaka kuruhusiwa maafisa wa shirika hilo kuingia Iran na kukagua miradi ya nishati ya nyuklia iliyoshambuliwa na Marekani.

  • Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    May 26, 2025 02:14

    Siku ya Ijumaa, Mei 23, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikri mpya kadhaa zinazolenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa nishati ya nyuklia, kupunguza kanuni za udhibiti na kupanua sekta ya urutubishaji wa madini ya urani nchini humo.

  • Pezeshkian: Hatutaacha mpango wetu wa amani wa nyuklia chini ya shinikizo lolote

    Pezeshkian: Hatutaacha mpango wetu wa amani wa nyuklia chini ya shinikizo lolote

    May 18, 2025 12:10

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Tehran kamwe haitaachana na mpango wake wa amani wa nyuklia.

  • Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran wafunguliwa mjini Mashhad

    Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran wafunguliwa mjini Mashhad

    May 13, 2025 12:27

    Mkutano wa 31 wa Nyuklia wa Iran, ulioandaliwa na Jumuiya ya Nyuklia ya Iran na kuungwa mkono na Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI), umefunguliwa katika mji wa Mashhad, uliopo kaskazini-mashariki mwa Iran.

  • Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka

    Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka

    May 05, 2025 12:11

    Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi amesema, kikosi hicho kiko mstari wa mbele kukabiliana haraka sana na tishio lolote dhidi ya nchi.

  •  Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    Juhudi za Bunge la Marekani kuongeza bajeti ya silaha za nyuklia na kijeshi

    May 02, 2025 03:02

    Ofisi ya Bajeti ya Bunge la Marekani (CBO), taasisi ya shirikisho isiyoegemea upande wowote, imetangaza kwamba ikiwa Marekani inataka kuendelea kutumia uwezo wa vikosi vyake vya silaha za nyuklia, itahitaji kuongeza bajeti yake kwa kiwango kikubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS