Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA, Majukumu na Matarajio

    Kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA, Majukumu na Matarajio

    Sep 12, 2017 02:38

    Kikao cha Bodi ya Magavana wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kilifanyika jana Jumatatu katika makao makuu ya wakala huo mjini Vienna, Austria.

  • Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Sep 11, 2017 06:56

    Afisa mmoja wa serikali ya Uingereza amedia kuwa Iran imeisaidia Korea Kaskazini kuimarisha uwezo wake wa silaha za nyuklia.

  • Korea Kaskazini yasherehekea majaribio ya bomu la nyuklia

    Korea Kaskazini yasherehekea majaribio ya bomu la nyuklia

    Sep 07, 2017 03:26

    Sherehe kubwa zimefanyika nchini Korea Kaskazini kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa zaidi ya bomu la nyuklia kuwahi kufanyika nchini humo.

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia la Hydrogen

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia la Hydrogen

    Sep 03, 2017 03:09

    Korea Kaskazini imefanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia, hili likiwa ni jaribio la sita la aina hii kufanywa na Pyongyang.

  • Ripoti mpya ya SIPRI kuhusiana na kuongezeka silaha za nyuklia

    Ripoti mpya ya SIPRI kuhusiana na kuongezeka silaha za nyuklia

    Jul 05, 2017 03:38

    Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) inaonyesha kuwa, mwenendo wa uwekezaji katika masuala ya silaha za nyuklia kwa ajili ya kuzifanya silaha hizo kuwa za kisasa umeongezeka duniani.

  • Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Jun 07, 2017 02:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuwa, iwapo Marekani itaamua kuingia katika vita vya nyuklia na nchi yake, hakuna upande utakaopona 'kusherehekea' ushindi.

  • IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Jun 03, 2017 03:21

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ripoti na kwa mara nyingine umethibitisha kuwa Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Afrika Kusini kusaini mikataba ya ujenzi wa vituo vya umeme wa nyuklia

    Afrika Kusini kusaini mikataba ya ujenzi wa vituo vya umeme wa nyuklia

    May 13, 2017 09:10

    Afrika Kusini inatazamiwa kusaini mikataba mipya na yenye uwazi na nchi tano kuhusu ujenzi wa vituo vya kuzalisha umeme wa nyuklia.

  • Kundi la G7 lapokea vizuri juhudi za Iran za kutafuta suluhisho la kisiasa la migogoro

    Kundi la G7 lapokea vizuri juhudi za Iran za kutafuta suluhisho la kisiasa la migogoro

    Apr 11, 2017 23:25

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi saba za viwanda duniani maarufu kwa jina la kundi la G7 wamepokea vizuri juhudi za Iran za kuitafutia utatuzi wa kisiasa migogoro wa Mashariki ya Kati

  • Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Apr 11, 2017 00:56

    Mbunge mmoja nchini Russia amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kuonya kuwa hujuma hiyo yamkini ikaibua vita vya nyuklia duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS