Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Marekani: Tupo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kuwalinda marafiki zetu

    Marekani: Tupo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kuwalinda marafiki zetu

    Feb 17, 2017 01:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, ikiwa italazimu, Washington ipo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kwa ajili ya kuwalinda marafiki zake wa Japan na Korea Kusini.

  • Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo

    Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo

    Jan 07, 2017 12:18

    Serikali ya Korea Kaskazini imemwandikia barua António Guterres, Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa ikilalamikia hatua ya kuongezwa vikwazo vya umoja huo dhidi yake.

  • Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia

    Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia

    Dec 27, 2016 11:13

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa New York wakikosoa wito uliotolewa hivi karibuni na Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump wa kutaka kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa nchi hiyo.

  • Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Dec 24, 2016 03:59

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.

  • Marekani: Uamuzi wa Iran wa kutengeneza vifaa endeshi vya nyuklia haukiuki JCPOA

    Marekani: Uamuzi wa Iran wa kutengeneza vifaa endeshi vya nyuklia haukiuki JCPOA

    Dec 14, 2016 04:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekania amesema kuwa agizo lililotolewa na Rais wa Iran kuhusu vifaa endeshi vya nyuklia halikiuki makubaliano ya JCPOA.

  • Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia

    Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia

    Dec 10, 2016 23:38

    Naibu wa Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • IAEA yathadharisha kuhusu uwezekano wa kushambuliwa taasisi za nyuklia

    IAEA yathadharisha kuhusu uwezekano wa kushambuliwa taasisi za nyuklia

    Dec 06, 2016 00:06

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametahadharisha kuhusu hatari ya kushambuliwa taasisi za nyuklia.

  • Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Dec 03, 2016 04:24

    Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wabunge wanaandaa hoja ya dharura wa kujadiliwa haraka na nje ya utaratibu wa kawaida wa kuanzisha tena shughuli za nyuklia kwa lengo la kukabiliana na hatua dhidi ya Iran iliyochukuliwa na Kongresi ya Marekani.

  • Balozi wa Iran IAEA: Silaha za Nyuklia za Israel ni tishio kwa amani duniani

    Balozi wa Iran IAEA: Silaha za Nyuklia za Israel ni tishio kwa amani duniani

    Sep 30, 2016 04:19

    Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa eneo na dunia nzima.

  • Iran yasema iko tayari kuwa na ushirikiano wa nyuklia na nchi za eneo

    Iran yasema iko tayari kuwa na ushirikiano wa nyuklia na nchi za eneo

    Sep 16, 2016 22:10

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki ya Iran (IAEO) Ali Akbar Salehi amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushirikiana na nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi katika uga wa ustawishaji nishati ya nyuklia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS