-
Korea Kaskazini, dola lenye nguvu za nyuklia
Sep 11, 2022 21:47Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ametia saini sheria ambayo kwa mujibu wake nchi hiyo sasa inatambuliwa rasmi kuwa ni dola lenye nguvu za kijeshi za nyuklia.
-
Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo
Aug 25, 2022 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameukosoa vikali Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kuziia Uzalishaji na Usambazi za Silaha za Nyuklia NPT unaofanyika huko New York, kwa kukataa kutoa mwito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kujiunga na mkataba huo wa kimataifa.
-
Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT
Aug 23, 2022 23:50Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT).
-
Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri
Jul 22, 2022 03:21Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.
-
Russia: Hatutajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia
Jun 25, 2022 07:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Moscow haitajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia (TPNW).
-
Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia
Jun 23, 2022 20:48Mahakama moja nchini Iran imeipata na hatia serikali ya Marekani na makumi ya taasisi na maafisa wa nchi hiyo kwa kuunga mkono na kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya mauaji dhidi ya wanasayansi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Tumeitaarifu IAEA kuhusu shughuli zetu katika kituo cha nyuklia cha Natanz
Jun 18, 2022 08:02Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu imelitaarifu Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wake wa kuhamishia mji wa Natanz katikati ya Iran, shughuli za kituo cha nyuklia cha TESA kilichoko katika mji wa Karaj, viungani mwa mji mkuu Tehran.
-
Shirika la Nishati ya Atomiki Iran: Hakuna mada yoyote ya nyuklia nchini ambayo haijatolewa maelezo
Jun 14, 2022 03:40Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran AEOI limetangaza kuwa hakuna mada yoyote ya nyuklia nchini ambayo haijatolewa maelezo; na madai ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA yametokana na taarifa zisizo sahihi na za kubuni ulizopewa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ambao wenyewe unamiliki silaha za nyuklia.
-
Wabunge wa Iran: IAEA imepoteza itibari ya kiufundi
Jun 13, 2022 06:28Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imesema hatua ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ya kupasisha azimio dhidi ya Iran imeonesha wazi kuwa taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa imepoteza itibari yake ya kiufundi.
-
Ripoti: Dunia kushuhudia ongezeko la akiba ya silaha za nyuklia
Jun 13, 2022 05:18Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imeonya kuwa, akiba ya silaha hatari za nyuklia duniani inatazamiwa kuongezeka kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha miaka michache ijayo.