Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Korea Kaskazini, dola lenye nguvu za nyuklia

    Korea Kaskazini, dola lenye nguvu za nyuklia

    Sep 11, 2022 21:47

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ametia saini sheria ambayo kwa mujibu wake nchi hiyo sasa inatambuliwa rasmi kuwa ni dola lenye nguvu za kijeshi za nyuklia.

  • Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Aug 25, 2022 23:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameukosoa vikali Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kuziia Uzalishaji na Usambazi za Silaha za Nyuklia NPT unaofanyika huko New York, kwa kukataa kutoa mwito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kujiunga na mkataba huo wa kimataifa.

  • Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

    Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

    Aug 23, 2022 23:50

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT).

  • Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Jul 22, 2022 03:21

    Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.

  • Russia: Hatutajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia

    Russia: Hatutajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia

    Jun 25, 2022 07:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Moscow haitajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia (TPNW).

  • Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia

    Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia

    Jun 23, 2022 20:48

    Mahakama moja nchini Iran imeipata na hatia serikali ya Marekani na makumi ya taasisi na maafisa wa nchi hiyo kwa kuunga mkono na kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya mauaji dhidi ya wanasayansi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: Tumeitaarifu IAEA kuhusu shughuli zetu katika kituo cha nyuklia cha Natanz

    Iran: Tumeitaarifu IAEA kuhusu shughuli zetu katika kituo cha nyuklia cha Natanz

    Jun 18, 2022 08:02

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu imelitaarifu Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wake wa kuhamishia mji wa Natanz katikati ya Iran, shughuli za kituo cha nyuklia cha TESA kilichoko katika mji wa Karaj, viungani mwa mji mkuu Tehran.

  • Shirika la Nishati ya Atomiki Iran: Hakuna mada yoyote ya nyuklia nchini ambayo haijatolewa maelezo

    Shirika la Nishati ya Atomiki Iran: Hakuna mada yoyote ya nyuklia nchini ambayo haijatolewa maelezo

    Jun 14, 2022 03:40

    Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran AEOI limetangaza kuwa hakuna mada yoyote ya nyuklia nchini ambayo haijatolewa maelezo; na madai ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA yametokana na taarifa zisizo sahihi na za kubuni ulizopewa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ambao wenyewe unamiliki silaha za nyuklia.

  • Wabunge wa Iran: IAEA imepoteza itibari ya kiufundi

    Wabunge wa Iran: IAEA imepoteza itibari ya kiufundi

    Jun 13, 2022 06:28

    Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imesema hatua ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ya kupasisha azimio dhidi ya Iran imeonesha wazi kuwa taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa imepoteza itibari yake ya kiufundi.

  • Ripoti: Dunia kushuhudia ongezeko la akiba ya silaha za nyuklia

    Ripoti: Dunia kushuhudia ongezeko la akiba ya silaha za nyuklia

    Jun 13, 2022 05:18

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imeonya kuwa, akiba ya silaha hatari za nyuklia duniani inatazamiwa kuongezeka kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha miaka michache ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS