Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Abdollahian: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilichochewa kisiasa

    Abdollahian: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilichochewa kisiasa

    Jun 12, 2022 03:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezikosoa vikali Marekani na nchi tatu za Ulaya za Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, kwa kuwasilisha azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu mbele ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Russia: Azimio la IAEA dhidi ya Iran ni la kipumbavu

    Russia: Azimio la IAEA dhidi ya Iran ni la kipumbavu

    Jun 10, 2022 21:58

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amelitaja azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA dhidi ya Iran kuwa ni la kipumbavu.

  • Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Jun 09, 2022 18:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA cha kupasisha azimio dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili litatoa jibu mwafaka na madhubuti kwa hatua hiyo.

  • Mazungumzo ya Vienna na umuhimu wa safari ya Grossi mjini Tehran

    Mazungumzo ya Vienna na umuhimu wa safari ya Grossi mjini Tehran

    Mar 05, 2022 08:04

    Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ta Atomiki (IAEA) leo Jumamosi amewasili hapa Tehran na kulakiwa na Behrouz Kamalvandi Msemaji na Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Shirika la Nishati ya Atomiki lal Iran. Ziara ya Grossi hapa Tehran inafanyika kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi baadhi ya hitilafu za mitazamo kuhusu faili la nyuklia la Iran pamoja na masuala mengine kati ya Iran na wakala wa IAEA.

  • China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    Jan 22, 2022 23:10

    China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.

  • Iran: IAEA iache pupa inapozungumzia masuala ya nyuklia

    Iran: IAEA iache pupa inapozungumzia masuala ya nyuklia

    Nov 17, 2021 23:27

    Kaimu Mwakilishi wa Iran katika taasisi za kimataifa zenye makao yao huko Vienna, Austria ameziasa nchi wanachama wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) zijiepushe kutoa taarifa kwa haraka bila mazingatio juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Akiba ya urani iliyorutubishwa kwa 60% ya Iran yafikia kilo 25

    Akiba ya urani iliyorutubishwa kwa 60% ya Iran yafikia kilo 25

    Nov 05, 2021 23:55

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema akiba ya madini ya urani iliyorutubishwa kwa kiwango cha asilimia 60 hapa nchini imefikia kilo 25.

  • Abdollahian: Wasiwasi juu ya maendeleo ya kinyuklia ya Iran ni kitu kisicho na msingi wowote

    Abdollahian: Wasiwasi juu ya maendeleo ya kinyuklia ya Iran ni kitu kisicho na msingi wowote

    Sep 25, 2021 04:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, wasiwasi juu ya maendeleo ya miradi ya nyuklia ya Iran hauna msingi wowote.

  • Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Sep 20, 2021 05:44

    Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.

  • Iran yajibu upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa Israel

    Iran yajibu upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa Israel

    Sep 10, 2021 21:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu porojo na upayukaji wa waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa, Iran ina haki ya kujibu chokochoko zozote zile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS