Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Zarif na Sheikh Ahmad wasisitiza kuhitimishwa maafa ya kibinadamu Yemen

    Zarif na Sheikh Ahmad wasisitiza kuhitimishwa maafa ya kibinadamu Yemen

    Aug 12, 2017 23:57

    Waziri wa wa Mambo ya Nje wa Iran na Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen wamesisitiza ulazima wa kuhitimishwa maafa ya kibinadamu huko Yemen na kupatikana njia za kisiasa ili kutatua mgogoro wa nchi hiyo.

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Aug 04, 2017 22:10

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe wamesisitiza juu ya azma ya nchi zao ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbalimbali.

  • Zarif: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel

    Zarif: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel

    Aug 01, 2017 22:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa inalazimika kukomesha utamaduni wa kutouadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha utawala huo usitishe kabisa uhalifu na jinai zake dhidi ya watu wa Palestina.

  • Zarif: Wimbo wa Marekani dhidi ya Iran ni wa kukaririwa, umepitwa na wakati

    Zarif: Wimbo wa Marekani dhidi ya Iran ni wa kukaririwa, umepitwa na wakati

    Jul 19, 2017 23:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madai yanayotolewa na Marekani dhidi ya Iran hayana jipya, ni ya kukaririwa na hayaakisi uhakika wa mambo.

  • Zarif: Jamii ya Kimataifa haijali mchezo wa kuigiza wa Marekani dhidi ya Iran

    Zarif: Jamii ya Kimataifa haijali mchezo wa kuigiza wa Marekani dhidi ya Iran

    Jul 19, 2017 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiilslamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa itaendelea kushirikiana na Iran bila ya kujali mchezo wa kuigiza wa vikwazo vya Marekani.

  • Zarif: Marekani wasifanye wachekwe, kamwe hawawezi kuipindua Jamhuri ya Kiislamu

    Zarif: Marekani wasifanye wachekwe, kamwe hawawezi kuipindua Jamhuri ya Kiislamu

    Jul 18, 2017 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya kijuba na yaliyo kinyume na misingi ya kimataifa yanayotolewa na viongozi wa Marekani wanaosema kuwa siasa zao kuu ni kufanya mapinduzi nchini Iran na kuiangusha Jamhuri ya Kiislamu.

  • Dakta Zarif aitaka Marekani iangalie upya misimamo yake kuhusu JCPOA

    Dakta Zarif aitaka Marekani iangalie upya misimamo yake kuhusu JCPOA

    Jul 13, 2017 22:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na madola sita makubwa duniani ni yalikuwa makubaliano kimataifa na kwamba, Marekani inapaswa kuangalia upya misimamo yake kuhusiana na makubaliano haya ya kimataifa.

  • Iran: Njama mpya za Marekani dhidi ya Syria ni kwa manufaa ya magaidi

    Iran: Njama mpya za Marekani dhidi ya Syria ni kwa manufaa ya magaidi

    Jun 27, 2017 11:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kitendo cha Marekani cha kuzusha vurugu mpya nchini Syria kwa kutegemea madai ya uongo, si kwa faida ya yeyote isipokuwa magaidi wa ISIS.

  • Zarif: Matamshi ya Trump kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Tehran yanaudhi

    Zarif: Matamshi ya Trump kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Tehran yanaudhi

    Jun 08, 2017 11:05

    Dk. Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, matamshi ya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusiana na mashambulizi ya kigaidi ya mjini Tehran ni kejeli kwa wahanga wa mashambulizi hayo na yanaudhi.

  • Dakta Zarif: Iran kinyume na Saudia, inafuatilia kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Syria

    Dakta Zarif: Iran kinyume na Saudia, inafuatilia kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Syria

    May 26, 2017 22:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran kinyume na Saudi Arabia, inafuatilia kuhakikisha kwamba, mgogoro wa Syria unapatiwa ufumbuzi kupitia njia za kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS