Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Hatimaye Rais Mugabe wa Zimbabwe asalimu amri, akubali kujiuzulu

    Hatimaye Rais Mugabe wa Zimbabwe asalimu amri, akubali kujiuzulu

    Nov 21, 2017 10:14

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe hatimaye amesalimu amri na kukubali kujiuzulu. kufutia mashinikizo ya kila upande ya kumtaka aachie madaraka.

  • Mugabe apewa kinga ya kutoshtakiwa, adhaminiwa usalama wake ndani ya Zimbabwe

    Mugabe apewa kinga ya kutoshtakiwa, adhaminiwa usalama wake ndani ya Zimbabwe

    Nov 23, 2017 10:57

    Aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amepewa kinga ya kutoshtakiwa sambamba na kudhaminiwa usalama wake ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Kujiuzulu Mugabe na mustakabali wa kisiasa wa Zimbabwe

    Kujiuzulu Mugabe na mustakabali wa kisiasa wa Zimbabwe

    Nov 22, 2017 23:57

    Hatimaye baada ya takribani wiki moja ya changamoto, mivutano na uingiliaji wa jeshi hatimaye Rais Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe ameng'atuka madarakani. Mugabe amechukua hatua hiyo baada ya Bunge kuanzisha mchakato wa kumsaili kwa lengo la kumuuzulu.

  • Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Nov 22, 2017 13:02

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni na Rais Robert Mugabe aliyetangaza kujiuzulu hapo jana amerejea nchini akitokea Afrika Kusini.

  • Baada ya Mugabe kujiuzulu, Umoja wa Mataifa wawataka Wazimbabwe kudumisha utulivu

    Baada ya Mugabe kujiuzulu, Umoja wa Mataifa wawataka Wazimbabwe kudumisha utulivu

    Nov 22, 2017 04:31

    Umoja wa Mataifa umewataka wananchi wa Zimbabwe kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki baada ya Rais Robert Mugabe kutangaza kujiuzulu hapo jana.

  • Wanachuo Zimbabwe waandamana dhidi ya Mugabe

    Wanachuo Zimbabwe waandamana dhidi ya Mugabe

    Nov 20, 2017 11:06

    Wanachuo nchini Zimbabwe wamefanya maandamano katika kuonyesha upinzani wao kwa rais wa nchi hiyo.

  • Mugabe akataa tena kujiuzulu

    Mugabe akataa tena kujiuzulu

    Nov 19, 2017 23:58

    Licha ya hapo awali kutangazwa kuwa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekubali kujiuzulu na kwamba angeliitumia hotuba yake kwa taifa kutangaza rasmi kuachia madaraka, lakini rais huyo kizee hakusema chochote kuhusiana na kujiuluzu kwake wakati alipolihutubia taifa jana usiku.

  • Duru za ZANU-PF: Chama tawala Zimbabwe kinapanga kumtimua Mugabe

    Duru za ZANU-PF: Chama tawala Zimbabwe kinapanga kumtimua Mugabe

    Nov 19, 2017 04:40

    Viongozi wa chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF wanatazamiwa kupitisha uamuzi wa kumuondoa uongozini Rais wa nchi hiyo na kiongozi wa chama hicho Robert Gabriel Mugabe, ambaye amekuwa akiiongoza nchi hiyo tangu ilipopata uhuru wake miaka 37 iliyopita. Hayo ni kwa mujibu wa duru mbili kutoka ndani ya chama hicho.

  • Muswada wa kumsaili Mugabe, wawasilishwa katika bunge la Zimbabwe

    Muswada wa kumsaili Mugabe, wawasilishwa katika bunge la Zimbabwe

    Nov 19, 2017 00:59

    Mpango wa kusailiwa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe umewasilishwa katika bunge la nchi hiyo.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Maelfu waandamana Zimbabwe wakishinikiza Mugabe ajiuzulu

    Nov 18, 2017 11:27

    Maelfu ya raia wameandamana leo nchini Zimbabwe hasa katika mji mkuu Harare wakiunga mkono hatua ya jeshi ya kumuondoa madarakani Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo na kupiga nara wakishinikiza kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 93 ajiuzulu na kuachia madaraka ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS