Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Mugabe azidi kukabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Rais wa Botswana amkosoa, maandamano dhidi yake yafanyika Harare

    Mugabe azidi kukabiliwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Rais wa Botswana amkosoa, maandamano dhidi yake yafanyika Harare

    Nov 18, 2017 04:12

    Rais Ian Khama wa Botswana amemtaka Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe aachie madaraka akisisitiza kuwa kiongozi huyo hana uungaji mkono wa kidiplomasia wa kieneo wa kumfanya abaki madarakani.

  • Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Chama tawala nchini Zimbabwe kuongoza maandamano dhidi ya Mugabe

    Nov 17, 2017 23:50

    Chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-PF hii leo klnatazamiwa kuongoza maandamano katika mji mkuu Harare, kumshinikiza Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Chama tawala Zimbabwe chasema hakuna kurudi nyuma, Mugabe ang'atuke

    Chama tawala Zimbabwe chasema hakuna kurudi nyuma, Mugabe ang'atuke

    Nov 17, 2017 13:21

    Chama tawala nchini Zimbabwe cha Zanu- PF kimetangaza kuwa kinapanga mikakati ya kumlazimisha Rais mkongwe wa nchi hiyo, Robert Mugabe ang'atuke madarakani baada ya kuitawala nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 37.

  • Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Zimbabwe

    Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Zimbabwe

    Nov 17, 2017 11:43

    Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu yalipojiri mapinduzi baridi ya kijeshi nchini Zimbabwe, wingu la mgogoro wa kisiasa lingali limetanda ndani ya nchi hiyo huku hatima ya mgogoro wenyewe ikibaki kuwa kitendawili.

  • Mugabe kutana kwa nyuso za bashasha na wanajeshi; akataa mwito wa kujiuzulu

    Mugabe kutana kwa nyuso za bashasha na wanajeshi; akataa mwito wa kujiuzulu

    Nov 17, 2017 03:55

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye anashikiliwa katika kizuizi cha nyumbani kwa mara nyingine tena amekataa mwito wa jeshi unaomtaka ajiuzulu.

  • Iran: Pande husika katika masuala ya Zimbabwe zitatue matatizo yao kwa njia ya mazungumzo

    Iran: Pande husika katika masuala ya Zimbabwe zitatue matatizo yao kwa njia ya mazungumzo

    Nov 17, 2017 00:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka pande zote zinazohusika na matukio ya hivi sasa ya Zimbabwe, kutatua matatizo yao kwa njia ya mazungumzo.

  • Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Nov 16, 2017 12:40

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.

  • Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe aondolewa madarakani

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe aondolewa madarakani

    Nov 15, 2017 12:04

    Jeshi la Zimbabwe limemuondoa madarakani rais wa nchi hiyo Robert Gabriel Mugabe.

  • Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Nov 15, 2017 04:49

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe anajiandaa kuondoka madarakani saa chache baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa madaraka kwa njia isiyo ya umwagaji damu.

  • Jeshi la Zimbabwe lakanusha uvumi kwamba lilitaka kufanya mapinduzi ya kiejeshi dhidi ya Mugabe

    Jeshi la Zimbabwe lakanusha uvumi kwamba lilitaka kufanya mapinduzi ya kiejeshi dhidi ya Mugabe

    Nov 15, 2017 01:17

    Maafisa wa jeshi nchini Zimbabwe wamekanusha uvumi wa kuendesha mapinduzi ya kijeshi baada ya kuripotiwa taarifa za kujiri milipuko ya bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Harare.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS