Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Zimbabwe kujinaisha kuajiriwa wafanyakazi wake wa afya katika nchi za kigeni

    Zimbabwe kujinaisha kuajiriwa wafanyakazi wake wa afya katika nchi za kigeni

    Apr 06, 2023 22:51

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Constantino Chiwenga, ametangaza kuwa nchi hiyo inakusudia kuanzisha sheria ambayo itafanya kuwa kinyume cha sheria kwa mataifa mengine kuajiri wafanyikazi wake wa afya.

  • Wazimbabwe wakasirishwa na baadhi ya shakhsia wa karibu na serikali kujihusisha na magendo ya dhahabu

    Wazimbabwe wakasirishwa na baadhi ya shakhsia wa karibu na serikali kujihusisha na magendo ya dhahabu

    Mar 30, 2023 08:10

    Dokumentari iliyoandaliwa na televisheni ya al Jazeera yenye makao yake mjini Doha huko Qatar ambaye imefichua namna watu walio na uhusiano na serikali ya Zimbabwe na chama tawala wanavyotorosha madini ya dhahabu, imeibua hasira miongoni mwa wananchi nchini humo.

  • Wafungwa sita wa Zimbabwe watoroka kizuizini Afrika Kuisini, polisi inawasaka washukiwa

    Wafungwa sita wa Zimbabwe watoroka kizuizini Afrika Kuisini, polisi inawasaka washukiwa

    Mar 14, 2023 08:11

    Polisi ya Afrika Kusini imetangaza kuwa imeanzisha msako wa kuwasaka washukiwa "wenye silaha nzito" ambao wamewaachilia huru wafungwa sita katika mapigano makali ya risasi.

  • Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran

    Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran

    Feb 28, 2023 04:05

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amekutaja kupanua uhusiano na maingiliano na nchi za Kiafrika hususan Zimbabwe kuwa ni moja ya njia kuu za sera za kigeni za Iran.

  • Zimbabwe inapoteza madaktari na walimu kwa unafiki wa Uingereza

    Zimbabwe inapoteza madaktari na walimu kwa unafiki wa Uingereza

    Feb 08, 2023 22:48

    Uingereza ambayo sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wauguzi na walimu baada ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya, imekuwa ikijielekeza katika koloni lake la zamani, Zimbabwe kutafuta wafanyakazi wa sekta ya umma wakiwemo wauguzi, madaktari na walimu.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Zimbabwe ni wa kirafiki

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Zimbabwe ni wa kirafiki

    Feb 07, 2023 11:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, amesema uhusiano wa Iran na Zimbabwe baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu daima umekuwa wa kirafiki na unaendelea kuimarika.

  • Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano

    Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano

    Jan 22, 2023 04:21

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zinanatazamiwa kusaini hati kadhaa za makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili ndani ya wiki kadhaa zijazo.

  • Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo

    Jan 16, 2023 09:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimeazimia kupanua zaidi ushirikiano wao katikka nyanja mbalimbalii ukiwemo uga wa michezo.

  • Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'

    Nov 23, 2022 23:01

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imeudhinisha muswada wa sheria ya kuwaadhibu wananchi wasio wazalendo, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo la kusini mwa Afrika.

  • Iran na Zimbabwe zatathmini njia za kuimarisha uhusiano wao

    Iran na Zimbabwe zatathmini njia za kuimarisha uhusiano wao

    Nov 06, 2022 04:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe hapa mjini Tehran, na kujadili mikakati na njia za kupanua na kuboresha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS