-
Makamu wa Rais wa Iran: Kutanua uhusiano na nchi za Kiafrika ni sera kuu ya Iran
Feb 28, 2023 07:35Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amekutaja kupanua uhusiano na maingiliano na nchi za Kiafrika hususan Zimbabwe kuwa ni moja ya njia kuu za sera za kigeni za Iran.
-
Zimbabwe inapoteza madaktari na walimu kwa unafiki wa Uingereza
Feb 09, 2023 02:18Uingereza ambayo sasa inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wauguzi na walimu baada ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya, imekuwa ikijielekeza katika koloni lake la zamani, Zimbabwe kutafuta wafanyakazi wa sekta ya umma wakiwemo wauguzi, madaktari na walimu.
-
Raisi: Uhusiano wa Iran na Zimbabwe ni wa kirafiki
Feb 07, 2023 15:18Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, amesema uhusiano wa Iran na Zimbabwe baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu daima umekuwa wa kirafiki na unaendelea kuimarika.
-
Iran na Zimbabwe kusaini makubaliano ya kuimarisha ushirikiano
Jan 22, 2023 07:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zinanatazamiwa kusaini hati kadhaa za makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa pande mbili ndani ya wiki kadhaa zijazo.
-
Iran na Zimbabwe zaazimia kupanua ushirikiano wa kimichezo
Jan 16, 2023 12:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe zimeazimia kupanua zaidi ushirikiano wao katikka nyanja mbalimbalii ukiwemo uga wa michezo.
-
Zimbabwe kuwaadhibu wananchi wasio na 'uzalendo'
Nov 24, 2022 02:31Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imeudhinisha muswada wa sheria ya kuwaadhibu wananchi wasio wazalendo, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo la kusini mwa Afrika.
-
Iran na Zimbabwe zatathmini njia za kuimarisha uhusiano wao
Nov 06, 2022 07:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe hapa mjini Tehran, na kujadili mikakati na njia za kupanua na kuboresha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili.
-
Mripuko wa surua umeua watoto 700 nchini Zimbabwe
Sep 07, 2022 02:23Mripuko wa surua umeua takriban watoto 700 nchini Zimbabwe tokea mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa.
-
Salami: Maamuzi ya Iran yanaathiri uchaguzi wa Marekani
Sep 07, 2022 02:23Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maamuzi ya kisiasa ya Jamhuri ya Kiislamu yana taathira na nafasi kubwa katika chaguzi za Marekani.
-
Ripoti: Mikusanyiko ya Wakristo yachangia kuenea surua Zimbabwe
Aug 16, 2022 02:41Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa surua nchini humo umesababishwa na mikusanyiko ya kidini ya Wakristo.