Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Mripuko wa surua umeua watoto 700 nchini Zimbabwe

    Mripuko wa surua umeua watoto 700 nchini Zimbabwe

    Sep 06, 2022 21:53

    Mripuko wa surua umeua takriban watoto 700 nchini Zimbabwe tokea mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa.

  • Salami: Maamuzi ya Iran yanaathiri uchaguzi wa Marekani

    Salami: Maamuzi ya Iran yanaathiri uchaguzi wa Marekani

    Sep 06, 2022 21:53

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maamuzi ya kisiasa ya Jamhuri ya Kiislamu yana taathira na nafasi kubwa katika chaguzi za Marekani.

  • Ripoti: Mikusanyiko ya Wakristo yachangia kuenea surua Zimbabwe

    Ripoti: Mikusanyiko ya Wakristo yachangia kuenea surua Zimbabwe

    Aug 15, 2022 22:11

    Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa surua nchini humo umesababishwa na mikusanyiko ya kidini ya Wakristo.

  • Wafanyakazi wa afya na walimu waanzisha mgomo Zimbabwe kulalamikia hali zao

    Wafanyakazi wa afya na walimu waanzisha mgomo Zimbabwe kulalamikia hali zao

    Jun 21, 2022 09:16

    Wafanyakazi wa sekta za afya na ualimu nchini Zimbabwe wameanzisha mgomo kulalamikia mazingira duni ya kazi huku wakikataa nyongeza ya asilimia mia moja ya mishahara iliyotangazwa na serikali mwishoni mwa wiki.

  • Watu 35 wafariki dunia katika ajali ya basi nchini Zimbabwe

    Watu 35 wafariki dunia katika ajali ya basi nchini Zimbabwe

    Apr 15, 2022 07:35

    Kwa akali watu 35 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuhusika katika ajali mbaya ya barabarani nchini Zimbabwe.

  • Zimbabwe yaanza kutwaa tena ardhi ambazo hazijatumika kutoka kwa wakulima wazawa

    Zimbabwe yaanza kutwaa tena ardhi ambazo hazijatumika kutoka kwa wakulima wazawa

    Mar 31, 2022 05:46

    Zimbabwe imeanza kitwaa tena ardhi za kilimo kutoka kwa raia asili na weusi wa nchi hiyo ambazo walipewa chini ya mpango wa mageuzi makubwa ya ardhi yaliyofanywa wakati wa utawala wa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe miongo miwili iliyopita lakini walizitelekeza bila kuzitumia.

  • Upinzani wakipiga mweleka chama tawala katika uchaguzi mdogo wa Bunge Zimbabwe

    Upinzani wakipiga mweleka chama tawala katika uchaguzi mdogo wa Bunge Zimbabwe

    Mar 28, 2022 06:29

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimepata kura nyingi zaidi ya chama tawala katika uchaguzi mdogo wa Bunge uliofanyika Jumamosi ya juzi.

  • Hospitali Zimbabwe zakumbwa na upungufu wa wauguzi baada ya mamia kuhamia Uingereza

    Hospitali Zimbabwe zakumbwa na upungufu wa wauguzi baada ya mamia kuhamia Uingereza

    Mar 10, 2022 00:40

    Ripoti kuhusu upungufu wa wauguzi katika hospitali za serikali na za binafsi huko Zimbabwe zimeendelea kugonga vichwa vya habari katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Zimbabwe yaathiriwa na wimbi la kuhajiri wafanyakazi wa sekta ya afya

    Zimbabwe yaathiriwa na wimbi la kuhajiri wafanyakazi wa sekta ya afya

    Dec 16, 2021 23:34

    Zimbabwe imeathiriwa na wimbi kubwa la wafanyakazi wake wa sekta ya afya kuhajiri na kwenda nchi za nje kutafuta kazi wakati huu ambapo nchi hiyo inasumbuliwa pakubwa na maambukizi ya VOVID-19. Hadi sasa zaidi ya wafanyakazi wa sekta ya afya 2,200 wameondoka Zimbabwe na kuelekea Marekani, Uingereza, Australia na katika mataifa jirani kwa ajili ya kusaka ajira.

  • Watumishi wa umma ambao hawajachanja Zimbabwe kutoruhusiwa kazini

    Watumishi wa umma ambao hawajachanja Zimbabwe kutoruhusiwa kazini

    Oct 15, 2021 23:02

    Kuanzia Jumatatu ijayo, wafanyakazi wa serikali na watumishi wote wa umma ambao hawajapiga chanjo ya kukijikinga na ugonjwa wa COVID-19 hawataruhusiwa kuingia kazini nchini Zimbabwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS