-
Wafanyakazi wa afya na walimu waanzisha mgomo Zimbabwe kulalamikia hali zao
Jun 21, 2022 13:46Wafanyakazi wa sekta za afya na ualimu nchini Zimbabwe wameanzisha mgomo kulalamikia mazingira duni ya kazi huku wakikataa nyongeza ya asilimia mia moja ya mishahara iliyotangazwa na serikali mwishoni mwa wiki.
-
Watu 35 wafariki dunia katika ajali ya basi nchini Zimbabwe
Apr 15, 2022 12:05Kwa akali watu 35 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuhusika katika ajali mbaya ya barabarani nchini Zimbabwe.
-
Zimbabwe yaanza kutwaa tena ardhi ambazo hazijatumika kutoka kwa wakulima wazawa
Mar 31, 2022 10:16Zimbabwe imeanza kitwaa tena ardhi za kilimo kutoka kwa raia asili na weusi wa nchi hiyo ambazo walipewa chini ya mpango wa mageuzi makubwa ya ardhi yaliyofanywa wakati wa utawala wa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe miongo miwili iliyopita lakini walizitelekeza bila kuzitumia.
-
Upinzani wakipiga mweleka chama tawala katika uchaguzi mdogo wa Bunge Zimbabwe
Mar 28, 2022 10:59Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimepata kura nyingi zaidi ya chama tawala katika uchaguzi mdogo wa Bunge uliofanyika Jumamosi ya juzi.
-
Hospitali Zimbabwe zakumbwa na upungufu wa wauguzi baada ya mamia kuhamia Uingereza
Mar 10, 2022 04:10Ripoti kuhusu upungufu wa wauguzi katika hospitali za serikali na za binafsi huko Zimbabwe zimeendelea kugonga vichwa vya habari katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Zimbabwe yaathiriwa na wimbi la kuhajiri wafanyakazi wa sekta ya afya
Dec 17, 2021 03:04Zimbabwe imeathiriwa na wimbi kubwa la wafanyakazi wake wa sekta ya afya kuhajiri na kwenda nchi za nje kutafuta kazi wakati huu ambapo nchi hiyo inasumbuliwa pakubwa na maambukizi ya VOVID-19. Hadi sasa zaidi ya wafanyakazi wa sekta ya afya 2,200 wameondoka Zimbabwe na kuelekea Marekani, Uingereza, Australia na katika mataifa jirani kwa ajili ya kusaka ajira.
-
Watumishi wa umma ambao hawajachanja Zimbabwe kutoruhusiwa kazini
Oct 16, 2021 02:32Kuanzia Jumatatu ijayo, wafanyakazi wa serikali na watumishi wote wa umma ambao hawajapiga chanjo ya kukijikinga na ugonjwa wa COVID-19 hawataruhusiwa kuingia kazini nchini Zimbabwe.
-
Spika wa Zimbabwe: Marekani, muasisi wa ukiukaji wa haki za binadamu
Jul 28, 2021 11:14Spika wa Bunge la Kitaifa la Zimbabwe ameitaja Marekani kama muasisi, chimbuko na taifa linaloongoza kwa ukiukaji wa haki za binadamu duniani.
-
Zimbabwe ni miongoni mwa nchi bora katika malipo ya mtandaoni barani Afrika
May 29, 2021 02:39Zimbabwe imepiga hatua kubwa katika sekta ya teknolojia za kidijitali ikiwa ni pamoja na mapinduzi katika malipo ya pesa kwa kutumia simu za mkononi ambapo hivi sasa watu milioni 7.67 kati ya milioni 14.5 nchini humo wanatumia simu za mkononi katika miamala ya kifedha.
-
Rouhani: Taifa la Zimbabwe litavishinda vikwazo vya Marekani
Apr 19, 2021 02:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa kwa mnasaba wa Siku ya Uhuru wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, iliyoadhimishwa jana Jumapili.