-
Spika wa Zimbabwe: Marekani, muasisi wa ukiukaji wa haki za binadamu
Jul 28, 2021 06:44Spika wa Bunge la Kitaifa la Zimbabwe ameitaja Marekani kama muasisi, chimbuko na taifa linaloongoza kwa ukiukaji wa haki za binadamu duniani.
-
Zimbabwe ni miongoni mwa nchi bora katika malipo ya mtandaoni barani Afrika
May 28, 2021 22:09Zimbabwe imepiga hatua kubwa katika sekta ya teknolojia za kidijitali ikiwa ni pamoja na mapinduzi katika malipo ya pesa kwa kutumia simu za mkononi ambapo hivi sasa watu milioni 7.67 kati ya milioni 14.5 nchini humo wanatumia simu za mkononi katika miamala ya kifedha.
-
Rouhani: Taifa la Zimbabwe litavishinda vikwazo vya Marekani
Apr 18, 2021 22:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa kwa mnasaba wa Siku ya Uhuru wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, iliyoadhimishwa jana Jumapili.
-
Zimbabwe yapiga marufuku kuingiza magari ya zaidi ya miaka 10 nchini humo
Apr 03, 2021 02:50Zimbawe imepiga marufuku kuingiza nchini humo magari makongwe yaliyotengenezwa zaidi ya miaka 10 iliyopita ikiwa ni hatua ya kukuza viwanda vya ndani, kupunguza gharama na kukabiliana na uchafuzi wa mazingira na hali ya hewa.
-
Corona yaua waziri wa tatu ndani ya wiki moja nchini Zimbabwe
Jan 23, 2021 08:14Joel Matiza, Waziri wa Uchukuzi na Ustawi wa Miundombinu wa Zimbabwe ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19, na hivyo kuwa waziri wa tatu kuaga dunia kwa maradhi hayo katika kipindi cha siku saba.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe aaga dunia kwa corona
Jan 21, 2021 01:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Sibusiso Moyo ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Waziri mwingine aaga dunia kwa corona nchini Zimbabwe
Jan 16, 2021 00:49Zimbabwe imempoteza waziri wake wa pili ambaye ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Wauguzi Zimbabwe wamaliza mgomo wao wa miezi mitatu
Sep 09, 2020 07:15Chama kikuu cha wauguzi nchini Zimbabwe kimetangaza leo Jumatano kwamba kinawahamasisha wanachama wake kumaliza mgomo wao wa kulalamikia mishahara yao ambao ulianza mwezi Juni mwaka huu. Mgomo huo wa miezi mitatu umezilazimisha hospitali kuu za nchi hiyo kushindwa kupokea wagonjwa tena wakati huu wa janga la COVID-19.
-
Zimbabwe: Wakulima wazungu wa kigeni wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi zao walizonyang'anywa
Sep 01, 2020 08:12Wakulima wazungu waliohamia Zimbabwe ambao walinyang'anywa ardhi zao za kilimo wakati wa utawala wa Rais Robert Mugabe wanaweza kuwasilisha maombi ili kurejeshewa ardhi hizo.
-
Zimbabwe kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5
Jul 30, 2020 06:07Serikali ya Zimbabwe imeafiki kuwalipa wakulima wazungu fidia ya dola bilioni 3.5 kutokana na ardhi zao kuchukuliwa na serikali kwa ajili ya kuwapa wenyeji Waafrika.