Matukio ya Kiislamu: Waislamu Tanzania waadhimisha Maulidi ya Mtume SAW +SAUTI
Oct 30, 2020 12:31 UTC
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amehutubia Baraza la Maulidi na kuwataka Waislamu kudumisha upendo na ushirikiano ili kumuenzi Bwana Mtume SAW.