-
DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi
Aug 15, 2022 06:07Mtaalamu mmoja wa masuala ya kiusalama amesema, asilimia 90 ya wahanga na waathirika wa ugaidi nchini Iraq hasa katika maeneo yaliyokombolewa wameuliwa kwa silaha za Marekani.
-
Balozi mpya wa Kuwait aaanza kufanya kazi nchini Iran baada ya miaka 7
Aug 15, 2022 05:47Badr Abdullah Al-Manikh, balozi mpya wa Kuwait katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Jumamosi, mwanzoni mwa kazi yake, alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir Abdullahian, na kumkabidhi nakala ya vitambulisho vyake.
-
Israel kuanzisha vituo vya Wazayuni waliochanganyikiwa kiakili kutokana na vita vya Ghaza
Aug 15, 2022 01:50Wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza mpango wa kuanzisha vituo maalumu vya kuwatibu akili Wazayuni kutokana na athari mbaya za makombora ya Ghaza yanayovurumishwa kwenye vitongojia vya walowezi wa Kizayuni kujibu jinai za Israel.
-
Watetezi wa haki za binadamu walaumu Israel kwa kuwaua wafungwa wa Kipalestina
Aug 14, 2022 21:57Kundi moja la kutetea haki za binadamu limeushutumu utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na unyanyasaji wake wa kinyama na hatua kali dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, likisema kwamba wafungwa hao wanakabiliwa na aina mbalimbali za mateso katika vizuizi na wanapoteza maisha.
-
Marekani yashadidisha vitendo vyake vya ujasusi nchini Iraq
Aug 14, 2022 06:51Ndege za Marekani hivi sasa zimeanzisha operesheni nyingi za kijasusi ambazo hazijawahi kushuhudiwa tangu walipoivamia na kuikalia kwa mabavu Iraq mwaka 2003. Operesheni hizo zimejikita katika kambi ya kijeshi ya Ain al Assad kuelekea ndani ya ardhi ya nchi jirani ya Syria.
-
Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria
Aug 13, 2022 22:01Kitengo cha upashaji habari cha jeshi la Iraq kimetoa ripoti rasmi na kusema kuwa karibu wanachama 50 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Dashe (ISIS) wamehamishiwa mkoani Nainawa (Nineveh) Iraq kutoka katika kambi ya al Hawl ya nchini Syria.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuinuliwa hadhi ya Harakati ya Jihad Islami
Aug 13, 2022 04:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hiyo katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."
-
HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel
Aug 13, 2022 03:48Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo thabiti ulioonyeshwa na waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Mapigano kati ya mamluki wa Saudia na UAE kusini mwa Yemen; kuendelea mzozo wa kijiografia na kisiasa
Aug 12, 2022 21:00Wanamgambo wenye mfungamano na Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia wamepigana tena katika maeneo ya kusini mwa Yemen, hali ambayo imesababisha vifo na majeruhi kadhaa.
-
Wanamichezo Wairaq wakataa kupambana na timu ya Israel katika mashindano ya Romania
Aug 12, 2022 08:03Wanamichezo wawili Wairaqi wa mchezo wa tenisi wamekataa kupambana na wanamichezo kutoka utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika michuano ya Paralampiki inayofanyika nchini Romania.