Polisi wachoma moto mahema ya wakimbizi nchini Ufaransa
https://parstoday.ir/sw/news/world-i2215-polisi_wachoma_moto_mahema_ya_wakimbizi_nchini_ufaransa
Jeshi la polisi nchni Ufaransa limeharibu na kuchoma moto mahema ya wakimbizi nchini humo
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Mar 01, 2016 10:35 UTC
  • Polisi wachoma moto mahema ya wakimbizi nchini Ufaransa

Jeshi la polisi nchni Ufaransa limeharibu na kuchoma moto mahema ya wakimbizi nchini humo

Wakimbizi hao ambao wengi wao ni kutoka nchini Syria wamekumbwa na uvamizi huo katika hali ambayo wanaishi kwenye mazingira magumu sana wao na familia zao.