-
Kushadidi siasa za serikali ya Uingereza dhidi ya wahajiri
Dec 08, 2023 07:27Kuongezeka maombi ya kutafuta hifadhi katika nchi za Ulaya, kumezifanya nchi hizo ziweka sheria kali za kupokea wahamiaji na wanaotafuta hifadhi, suala ambalo limezidisha mashinikizo dhidi yao.
-
Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini
Sep 03, 2021 11:43Shirika la Maendeleo na Tawala za Kieneo (IGAD) limemuomba Rais wa Uganda Yoweri Museveni atumie hekima na uzoefu wake katika masuala ya uongozi ili kusaidia kutatua tatizo la ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini.
-
Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali
Jul 29, 2021 11:05Tunisia imeendelea kutumbukia zaidi katika mgogoro mkubwa wa kisiasa baada ya Rais Kais Saied kuwafukuza kazi maafisa zaidi, siku chache tu baada ya kumtimua waziri mkuu, kusimamisha shughuli za Bunge na kuchukua madaraka yote ya kiutawala.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance
May 30, 2021 13:28Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema nchi yake ina azma kubwa ya kufikia mapatano madhubuti na nchi jirani ya Ethiopia kuhusiana na kadhia ya kujazwa maji na kuanza kufanya kazi bwawa hilo.
-
Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance
Apr 09, 2021 13:27Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema kuwa, ni jambo lililo mbali kwamba mgogoro wa bwawa la Renaissance unaweza kutatuliwa kwa njia za kijeshi ili kuizuia Ethiopia kuendeleza mradi ujenzi wa bwawa hilo juu ya maji ya Mto Nile.
-
UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri
Feb 12, 2021 02:42Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limezitaka nchi za Ulaya zikomesha ukatikli dhidi ya wahamiaji.
-
Maafa ya wakimbizi yaendelea kushuhudiwa Bahari ya Mediterania
Oct 09, 2019 12:57Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limetangaza katika ripoti yake ya hivi karibuni kwamba, maafa ya wahajiri yanaendelea kushuhudiwa katika maji ya Bahari ya Mediterania.
-
Sualal la wahajiri, ugaidi na hali ya uchumi; changamoto kuu zinazowakabili watu wa Ulaya
Dec 27, 2018 02:26Matokeo ya utafiti mmoja wa maoni uliofanywa barani Ulaya yameonyesha kuwa wahajiri, ugaidi na hali ya kifedha na kiuchumi ni changamoto kuu zitakazozikabili nchi za Ulaya katika mwaka ujao wa 2019.
-
Jitihada za kuboresha hali za wahajiri duniani
Dec 11, 2018 02:35Mkutano wa kimataifa wa uhajiri ulianza jana Jumatatu ya tarehe 10 Desemba nchini Morocco katika hali ambayo, mazingira na hali isiyoridhisha ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, pamoja na kukosekana usalama katika nchi mbalimbali duniani hususan za mabara ya Afrika na Amerika ya Latini na maeneo mengine kadhaa ya bara la Asia vimesababisha kuongezeka wimbi la wahajiri duniani.
-
IOM: Zaidi ya wahajiri 1000 wamekufa mwaka huu katika Bahari ya Mediterania
Jul 02, 2018 14:01Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 1000 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.