Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa wakimbizi

  • Kushadidi siasa za serikali ya Uingereza dhidi ya wahajiri

    Kushadidi siasa za serikali ya Uingereza dhidi ya wahajiri

    Dec 08, 2023 07:27

    Kuongezeka maombi ya kutafuta hifadhi katika nchi za Ulaya, kumezifanya nchi hizo ziweka sheria kali za kupokea wahamiaji na wanaotafuta hifadhi, suala ambalo limezidisha mashinikizo dhidi yao.

  • Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini

    Rais Museveni wa Uganda aombwa kupatanisha mizozo ya Sudan Kusini

    Sep 03, 2021 11:43

    Shirika la Maendeleo na Tawala za Kieneo (IGAD) limemuomba Rais wa Uganda Yoweri Museveni atumie hekima na uzoefu wake katika masuala ya uongozi ili kusaidia kutatua tatizo la ukosefu wa usalama nchini Sudan Kusini.

  • Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali

    Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali

    Jul 29, 2021 11:05

    Tunisia imeendelea kutumbukia zaidi katika mgogoro mkubwa wa kisiasa baada ya Rais Kais Saied kuwafukuza kazi maafisa zaidi, siku chache tu baada ya kumtimua waziri mkuu, kusimamisha shughuli za Bunge na kuchukua madaraka yote ya kiutawala.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tunafanya juhudi za kufikia mapatano kuhusu Bwawa la Renaissance

    May 30, 2021 13:28

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema nchi yake ina azma kubwa ya kufikia mapatano madhubuti na nchi jirani ya Ethiopia kuhusiana na kadhia ya kujazwa maji na kuanza kufanya kazi bwawa hilo.

  • Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Apr 09, 2021 13:27

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema kuwa, ni jambo lililo mbali kwamba mgogoro wa bwawa la Renaissance unaweza kutatuliwa kwa njia za kijeshi ili kuizuia Ethiopia kuendeleza mradi ujenzi wa bwawa hilo juu ya maji ya Mto Nile.

  • UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri

    UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri

    Feb 12, 2021 02:42

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limezitaka nchi za Ulaya zikomesha ukatikli dhidi ya wahamiaji.

  • Maafa ya wakimbizi yaendelea kushuhudiwa Bahari ya Mediterania

    Maafa ya wakimbizi yaendelea kushuhudiwa Bahari ya Mediterania

    Oct 09, 2019 12:57

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limetangaza katika ripoti yake ya hivi karibuni kwamba, maafa ya wahajiri yanaendelea kushuhudiwa katika maji ya Bahari ya Mediterania.

  • Sualal la wahajiri, ugaidi na hali ya uchumi; changamoto kuu zinazowakabili watu wa Ulaya

    Sualal la wahajiri, ugaidi na hali ya uchumi; changamoto kuu zinazowakabili watu wa Ulaya

    Dec 27, 2018 02:26

    Matokeo ya utafiti mmoja wa maoni uliofanywa barani Ulaya yameonyesha kuwa wahajiri, ugaidi na hali ya kifedha na kiuchumi ni changamoto kuu zitakazozikabili nchi za Ulaya katika mwaka ujao wa 2019.

  • Jitihada za kuboresha hali za wahajiri duniani

    Jitihada za kuboresha hali za wahajiri duniani

    Dec 11, 2018 02:35

    Mkutano wa kimataifa wa uhajiri ulianza jana Jumatatu ya tarehe 10 Desemba nchini Morocco katika hali ambayo, mazingira na hali isiyoridhisha ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, pamoja na kukosekana usalama katika nchi mbalimbali duniani hususan za mabara ya Afrika na Amerika ya Latini na maeneo mengine kadhaa ya bara la Asia vimesababisha kuongezeka wimbi la wahajiri duniani.

  • IOM: Zaidi ya wahajiri 1000 wamekufa mwaka huu katika Bahari ya Mediterania

    IOM: Zaidi ya wahajiri 1000 wamekufa mwaka huu katika Bahari ya Mediterania

    Jul 02, 2018 14:01

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 1000 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS