Waislamu Uganda wataka Hija isimamiwe kimataifa
https://parstoday.ir/sw/news/world-i9181-waislamu_uganda_wataka_hija_isimamiwe_kimataifa
Waislamu nchini Uganda wamehimiza kusimamiwa kimataifa amali ya Hija hasa kutokana na vifo vingi vilivyotokea katika msimu wa mwaka jana wa Hija. Mwandishi wa Radio Tehran ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Kampala. Gonga kwenye picha kusikiliza ripoti hiyo
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Jun 14, 2016 08:32 UTC

Waislamu nchini Uganda wamehimiza kusimamiwa kimataifa amali ya Hija hasa kutokana na vifo vingi vilivyotokea katika msimu wa mwaka jana wa Hija. Mwandishi wa Radio Tehran ametuandalia ripoti ifuatayo kutoka Kampala. Gonga kwenye picha kusikiliza ripoti hiyo