Makala Mchanganyiko
  • Kifo cha Bibi Khadija (as), mke mwema na kipenzi cha Mtume Muhammad (saw)

    Kifo cha Bibi Khadija (as), mke mwema na kipenzi cha Mtume Muhammad (saw)

    Apr 24, 2021 09:37

    Siku hiyo maradhi yalimzidia Bibi Khadija binti Khuwailid. Alikuwa akitafakari kuhusu njia ndefu iliyokuwa mbele yake.

  • Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Mar 10, 2021 03:24

     Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Leo hatutokuwa na kipindi cha BLW na badala yake tumekuandalieni makala maalumu ya kuzungumzia kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu sana katika ulimwengu mzima.

  • Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Mar 01, 2021 09:53

    Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.

  • Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Feb 24, 2021 08:46

    Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.

  • Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu  ya Iran yadumu

    Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yadumu

    Feb 07, 2021 10:28

    Kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo kilele chake ni tarehe 22 Bahman (10 Februari), tumekuandalia makala hii maalumu itakayozungumzia sababu zilizoyafanya mapinduzi hayo yadumu licha ya kupita miongo minne tangu kutokea kwake.

  • Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Feb 07, 2021 06:55

    Licha ya kupitia milima na mabonde mengi, lakini kufikia sasa Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kulinda nafasi na itibari yake ndani na nje ya nchi na ikiwa inaingia katika mwaka wake wa 42, imeongeza kasi yake kuelekea ustaarabu mpya wa Kiislamu.

  • Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo

    Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo

    Feb 06, 2021 07:36

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalum vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mpainduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Sera ya

    Sera ya "Si Mashariki, Si Magharibi" katika mahubiri ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 02, 2021 11:48

    Makala hii itabainisha chimbuko na historia ya kaulimbiu na sera ya Si Mashariki, Si Magharibi katika mageuzi ya kifikra na kisiasa nchini Iran, duniani na katika mahubiri ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Juhudi za Iran za kuimarisha uthabiti, usalama na ushirikiano kati ya nchi za eneo

    Juhudi za Iran za kuimarisha uthabiti, usalama na ushirikiano kati ya nchi za eneo

    Feb 01, 2021 05:49

    Siasa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu usalama wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimesimama juu ya msingi wa usalama wa pamoja. Ni kwa msingi huo ndipo ikaamini kuwa kuvurugwa usalama wa eneo ni kwa madhara ya nchi zote za eneo hili.