-
Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Siku ya Kimataifa ya Quds 1442 Hijria
May 07, 2021 13:28Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu. Himidi zote ni za Mwenyezi Mungu mlezi wa walimwengu na rehema na amani ziwe kwa mtukufu Muhammad (s.a.w.w), hitimisho la Mitume, mbora wa viumbe wote na Ali zake watoharifu na masahaba wote walio wema na kila aliowafuata kwa wema mpaka siku ya malipo.
-
Kifo cha Bibi Khadija (as), mke mwema na kipenzi cha Mtume Muhammad (saw)
Apr 24, 2021 09:37Siku hiyo maradhi yalimzidia Bibi Khadija binti Khuwailid. Alikuwa akitafakari kuhusu njia ndefu iliyokuwa mbele yake.
-
Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW
Mar 10, 2021 03:24Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Leo hatutokuwa na kipindi cha BLW na badala yake tumekuandalieni makala maalumu ya kuzungumzia kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu sana katika ulimwengu mzima.
-
Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu
Mar 01, 2021 09:53Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 24, 2021 08:46Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.
-
Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yadumu
Feb 07, 2021 10:28Kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo kilele chake ni tarehe 22 Bahman (10 Februari), tumekuandalia makala hii maalumu itakayozungumzia sababu zilizoyafanya mapinduzi hayo yadumu licha ya kupita miongo minne tangu kutokea kwake.
-
Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu
Feb 07, 2021 06:55Licha ya kupitia milima na mabonde mengi, lakini kufikia sasa Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kulinda nafasi na itibari yake ndani na nje ya nchi na ikiwa inaingia katika mwaka wake wa 42, imeongeza kasi yake kuelekea ustaarabu mpya wa Kiislamu.
-
Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo
Feb 06, 2021 07:36Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalum vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mpainduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Sera ya "Si Mashariki, Si Magharibi" katika mahubiri ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 02, 2021 11:48Makala hii itabainisha chimbuko na historia ya kaulimbiu na sera ya Si Mashariki, Si Magharibi katika mageuzi ya kifikra na kisiasa nchini Iran, duniani na katika mahubiri ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Juhudi za Iran za kuimarisha uthabiti, usalama na ushirikiano kati ya nchi za eneo
Feb 01, 2021 05:49Siasa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu usalama wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) zimesimama juu ya msingi wa usalama wa pamoja. Ni kwa msingi huo ndipo ikaamini kuwa kuvurugwa usalama wa eneo ni kwa madhara ya nchi zote za eneo hili.