Makala Mchanganyiko
  • Kumbukizi ya kuuawa shahidi Imam Muhammad Baqir (as)

    Kumbukizi ya kuuawa shahidi Imam Muhammad Baqir (as)

    Jul 18, 2021 01:01

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalum kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyouawa shahidi Imam Muhammad Baqir AS mmoja wa Maimamu watoharifu kutoka katika kizazi cha Bwana Mtume SAW.

  • Mashambulizi ya Israel dhidi ya waandishi na vyombo vya habari Ukanda wa Gaza

    Mashambulizi ya Israel dhidi ya waandishi na vyombo vya habari Ukanda wa Gaza

    May 20, 2021 03:47

    Zaidi ya Wapalestina 230 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili ya Israel yaliyoanza yapata siku kumi zilizopita. Zaidi ya 63 kati ya waliouliwa shahidi ni watoto na karibu 40 ni wanawake.

  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Siku ya Kimataifa ya Quds 1442 Hijria

    Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Siku ya Kimataifa ya Quds 1442 Hijria

    May 07, 2021 08:58

    Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu. Himidi zote ni za Mwenyezi Mungu mlezi wa walimwengu na rehema na amani ziwe kwa mtukufu Muhammad (s.a.w.w), hitimisho la Mitume, mbora wa viumbe wote na Ali zake watoharifu na masahaba wote walio wema na kila aliowafuata kwa wema mpaka siku ya malipo.

  • Kifo cha Bibi Khadija (as), mke mwema na kipenzi cha Mtume Muhammad (saw)

    Kifo cha Bibi Khadija (as), mke mwema na kipenzi cha Mtume Muhammad (saw)

    Apr 24, 2021 05:07

    Siku hiyo maradhi yalimzidia Bibi Khadija binti Khuwailid. Alikuwa akitafakari kuhusu njia ndefu iliyokuwa mbele yake.

  • Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Mar 09, 2021 23:54

     Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Leo hatutokuwa na kipindi cha BLW na badala yake tumekuandalieni makala maalumu ya kuzungumzia kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu sana katika ulimwengu mzima.

  • Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu

    Mar 01, 2021 06:23

    Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.

  • Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Feb 24, 2021 05:16

    Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.

  • Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu  ya Iran yadumu

    Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yadumu

    Feb 07, 2021 06:58

    Kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo kilele chake ni tarehe 22 Bahman (10 Februari), tumekuandalia makala hii maalumu itakayozungumzia sababu zilizoyafanya mapinduzi hayo yadumu licha ya kupita miongo minne tangu kutokea kwake.

  • Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Feb 07, 2021 03:25

    Licha ya kupitia milima na mabonde mengi, lakini kufikia sasa Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kulinda nafasi na itibari yake ndani na nje ya nchi na ikiwa inaingia katika mwaka wake wa 42, imeongeza kasi yake kuelekea ustaarabu mpya wa Kiislamu.