Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Hakika ya Uwahabi

Oct 29, 2022 15:26 UTC
Vipindi Vingine
  • Ufeministi
    Ufeministi
  • Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu
    Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu
  • Uislamu
    Uislamu
  • Familia Salama
    Familia Salama
  • Darsa ya Quráni
    Darsa ya Quráni
  • Mitandao ya Kijamii
    Mitandao ya Kijamii
  • Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)
    Mapinduzi ya Kiislamu (Katika Nadharia za Sayansi ya Jamii)

  • 19
    Hakika ya Uwahabi 19
    Baada ya Marekani kudai katikati ya mwaka 2011 kwamba ilikuwa imemuua Bin Laden, Ayman al-Zawahiri, kiongozi nambari mbili wa al-Qaeda, alichukua uongozi wa kundi hilo. Tofauti na alivyokuwa Bin Laden, al-Zawahiri hakuwahi kuhimiza kundi lake lipigane dhidi ya Marekani. Mbinu yake ilikuwa ni kupambana na watawala wa nchi za eneo.
  • 18
    Hakika ya Uwahabi 18
    Miaka 13 ilikuwa imepita tangua kushindwa majeshi ya Umoja wa Sovieti nchini Afghanistan na kutokea mashambulio yaliyofanyika dhidi ya majengopacha mawili ya kibiashara mjini New York. Katika kipindi hicho Afghanistan ilikuwa imekumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, vita ambavyo Usama bin Laden na washika wake walikuwa na nafasi muhimu katika kuvidumisha.
  • 17
    Hakika ya Uwahabi 17
    Mwaka 1979, wakati ambapo Umoja wa Kisovieti uliamua kutuma jeshi lake kwenda Afghanistan kwa ajili ya kusaidia na kuviunga mkono vyama vya kikomunisti, Waislamu wote wa Afghanistan, bila kujali dini, mila na madhehebu zao walisimama na kupinga vikali uamuzi huo.
  • 16
    Hakika ya Uwahabi 16
    Marekani kamwe haukudhani kwamba Waislamu ambao hawakuwa na silaha yoyote wangeweza kusimama mbele ya jeshi ambalo lilikuwa limejizatiti kwa akila aina ya silaha za kisasa, kwa lengo la kutetea haki zao. Lakini ilipoona kuwa watu wa Afghanistan walikuwa wamesimama imara kwa ajili ya kutetea maslahi yao, Marekani iliamua kutumia vibaya fursa hiyo kulinda maslahi yake.... yaani wakati wa kusema uongo mkubwa ulikuwa umewadia.
  • 15
    Hakika ya Uwahabi 15
    Kama mngali mnakumbuka tulisema katika vipindi viwili vilivyopita kwamba watenda-jinai za kutisha huamua kusema na kukariri uongo mkubwa ili kukwepa kuangamia au kunaswa katika mtego wa sheria. Husema uongo mkubwa kadiri kwamba hata wao wenyewe hushawishika kuamini kuwa wanachokisema si uongo tena bali ni ukweli mtupu.
  • 14
    Hakika ya Uwahabi 14
    Yale tuliyoyajadili katika vipindi vilivyopita kimsingi yalihusiana na mambo tunayoyajua kuhusiana na pote linalojulikana kama Mawahabi kwa msingi wa nyaraka za kihistoria, fikra na itikadi zao. Pote hili pia lina maulama na viongozi ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakitoa fatwa kuhusiana na masuala tofauti katika ulimwengu wa Kiislamu. Leo tunakusudia kujadili baadhi yao na fatwa walizotoa katika uwanja huo.
  • 13
    Hakika ya Uwahabi 13
    Wakati mwingine wahalifu husema uwongo mkubwa ili kuepuka kuangamia, "Daima kuna nguvu ya kuaminika katika uwongo mkubwa." Hii ni moja ya kauli mashuhuri za Adolf Hitler.
  • 12
    Hakika ya Uwahabi 12
    Tulisema katika kipindi kilichopita kwamba Mawahabi na matakfiri hudai kuwa wao ni Masalafi yaani kuwa ni wafuasi wa watu wema waliotangulia katika historia ya Uislamu na ambao kimsingi ni masahaba na wafuasi wa masahaba wa Mtume Mtukufu (saw). Pamoja na amadai hayo lakini ukweli wa mambo unathibitisha kinyume chake ambapo tunaona kwamba Mawahabi wametoka nje kabisa ya itikadi na suna za Mtume na kufanya mambo kwa msingi wa itikadi za Makhawarij.
  • 11
    Hakika ya Uwahabi 11
    Tulisema katika kipindi kilichopita kwamba Mawahabi hujiita kuwa ni Masalafi yaani wafuasi wa watu wema waliotangulia. Katika kipindi cha leo tutachambua kwa undaji kidogo maana halisi ya neno 'Salaf' ili tupate kujua maana halisi ya 'Salaf Swaleh' na maana inayokusudiwa na Mawahabi.
  • 10
    Hakika ya Uwahabi 10
    Katika kipindi cha leo tunatazamia kujadili moja ya madai yanayotolewa na Mawahabi kuhusu itikadi za Uislamu, madai ambayo iwapo itathibiti kuwa ni ya kweli, basi kinyume na tulivyosema huko, Mawahabi watakuwa ndio Waislamu wa kweli na sisi wengine sote tutakuwa tumekosoa katika kuwatuhumu bila ya kuwa na hoja za kutosha.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS