Makala Mchanganyiko
  •  Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Watu wa Asili, Tabaka Lililokandamizwa Zaidi katika Dunia ya Leo

    Aug 09, 2017 14:08

    Tarehe 23 Disemba mwaka 1994 Umoja wa Mataifa uliitangaza tarehe 9 Agosti kila mwaka kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Watu wa Asili (Indigenous). Siku hiyo ilitangazwa rasmi ili kukumbuka na kutetea haki za zaidi ya watu milioni 370 wa asili katika nchi 90 duniani.

  • UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina

    UNESCO: Al Khalil (Hebron) ni turathi ya kimataifa ya Palestina

    Jul 26, 2017 05:40

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim (as) katika orodha ya turathi za kimataifa zinazokabiliwa na hatari ya kutoweka na limelaani vikali hatua za utawala ghasibu wa Israel katika eneo hilo.

  • Imam Swadiq AS kigezo chema cha Waislamu

    Imam Swadiq AS kigezo chema cha Waislamu

    Jul 19, 2017 12:03

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi hiki maalumu ambacho leo kitazungumzia maisha ya Imam Jafar Swadiq AS.

  • Vazi la Staha la Hijab

    Vazi la Staha la Hijab

    Jul 12, 2017 05:49

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum. Msikilizaji mpenzi, tarehe 21 Tir kwa mwaka wa Kiirani wa Hijria Shamsia ambayo inasadifiana na tarehe 12 Julai mwaka wa Milaadia, ni siku ya staha na hijabu nchini Iran.

  • Ali AS, dhihirisho la dua na kumtaradhia Allah

    Ali AS, dhihirisho la dua na kumtaradhia Allah

    Jun 15, 2017 09:09

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika makala hii maalumu inayokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali bin Abi Twalib AS. Ni matumaini yangu kwamba mtaendelea kuwa kando ya redio zenu kusikiliza niliyokuandalieni.

  • Pamoja na Imam Hasan al Mujtaba AS (kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa kwake)

    Pamoja na Imam Hasan al Mujtaba AS (kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa kwake)

    Jun 09, 2017 22:40

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Mwezi 15 Ramadhani ni siku inayosadifiana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Hasan al Mujtaba, mjukuu mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Nyendo za Mtume SAW katika maisha ya Imam Khomeini MA

    Nyendo za Mtume SAW katika maisha ya Imam Khomeini MA

    Jun 05, 2017 04:57

    Assalaam Alaykum wasikilizaji wapenzi, karibuni kujiunga nami kwenye kipindi hiki maalumu ambacho kimetayarishwa kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kufariki dunia Imam Ruhullah Mussawi al Khomeini (MA) mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Ni matumaini yangu kuwa mtakuwa nami hadi tamati ya kipindi hiki, karibuni.

  • Mambo ya kujichunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Mambo ya kujichunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Jun 01, 2017 01:16

    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambacho kwa leo kitaanza kwa kugusia falsafa na hekima ya funga.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa Imam Mahdi AS

    Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa Imam Mahdi AS

    May 11, 2017 23:28

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Mahdi AS. Tunaianza makala hii fupi kwa kusema: Nuru ya umaanawi ya uwepo wa Imam Mahdi AS imeenea hata katika wakati huu wa "ghaiba" wa kutokuwepo mtukufu huyo machoni mwa walimwengu.