-
Makala maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Sajjad AS
May 01, 2017 05:22Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika dakika hizi chache za kipindi hiki maalumu ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Hussein Zainul Abidiin AS mmoja kati ya Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW.
-
Abul Fadhl Abbas AS, shujaa muungwana
Apr 30, 2017 13:27Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum. Tuko katika siku ya kukumbuka kuzaliwa Hadhrat Abul Fadhl Abbas AS na tunawakaribisha kusikiliza makala hii maalumu ambayo tumekutayarishieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Abul Fadhlil Abbas, mwana wa Imam Ali AS na ambaye alikuwa jemedari shujaa na nguzo muhimu ya Imam Hussein AS katika mapambano ya Karbala.
-
Iran, nchi ya tatu kuidhaminia Iraq mahitaji yake ya msingi
Apr 29, 2017 20:50Licha ya kuwepo historia chungu ya vita vya kulazimishwa baina yao, lakini nchi mbili jirani za Iran na Iraq hivi sasa zimefungua ukurasa mpya wa mashirikiano.
-
Imam Hussein AS, kigezo bora kwa wapigania ukombozi
Apr 29, 2017 08:23Tarehe tatu Shaaban ni kumbukumbu ya kuzaliwa shakhsia mkubwa ambaye aliyapa maana kamili maneno ya umaridadi na mapenzi. Ana moyo maridadi, karama, maarifa ya kina na hatimaye yeye ni kielelezo cha maisha ya mwanaadamu aliyekamilika. Leo ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa, Hussein, mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Malaria
Apr 23, 2017 06:52Tarehe 25 ya Jumanne ya wiki hii dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Malaria ambayo ilitangazwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku hiyo ilikuwa fursa kwa walimwengu kutambua vyema zaidi ugonjwa huo na nchi mbalimbali kujifunza kutokana na tajiriba na uzoefu wa nchi mbalimbali juu ya namna ya kudhibiti ugonjwa huo unaoua mamilioni ya watu.
-
Kubadilishwa Kibla cha Waislamu, Tukio Kubwa na Muhimu
Apr 13, 2017 03:27Tukio la kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Baitul Muqaddas na kuelekea Masjidul Haram linahesabiwa kuwa miongoni mwa matukio makubwa na yenye taathira kubwa sana katika historia ya Uislamu ambalo pia lilikuwa na athari nyingi za kustaajabisha.
-
Kwa mnasaba wa kufa shahidi Imam Hadi (AS), nuru ya uongofu na utaalamishaji
Apr 01, 2017 02:00Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Wapenzi wasikilizaji, tumo kwenye masiku ya mwezi mtukufu wa Rajab ambapo tarehe 3 ya mwezi huu mwaka 254 hijria ni siku aliyokufa shahidi mwana mwengine mtoharifu wa Bwana Mtume Muhammad (SAW).
-
Imam Baqir AS dhihirisho la mwanadamu aliye kamili
Mar 29, 2017 10:41Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Baqir AS, mmoja wa Maimamu watukufu kutoka katika kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume Muhammad SAW. Tunatoa mkono wa baraka na fanaka kwa mnasaba huo. Karibuni.
-
Nowruz Katika Utamaduni na Mafundisho ya Kiislamu
Mar 25, 2017 07:11Tuko katika siku za awali za mwaka mpya wa Kiirani wa 1396 Hijria Shamsia ambao ulianza Machi 21. Siku za kuanza mwaka mpya wa Kiirani hujulikana kama Nowruz au Nairuzi na huadhimishwa kwa furaha na shangwe kote Iran na nchi zinazozungumza Kifarsi pamoja na mataifa yote ambayo kwa njia moja au nyingine yana uhusiano na ustaarabu na utamaduni wa Iran.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Bibi Fatimatuz Zahra SA
Mar 18, 2017 06:07Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyolaziwa Bibi Fatma Zahra as, binti ya Mtukufu Mtume saw. Huku tukitoa mkono wa kheri, Baraka na fanaka tuna matumaini kwamba, mtanufaika nay ale niliyokuandalieni kwa manasaba huu.