• Arubaini; kukamilika Ashura

    Arubaini; kukamilika Ashura

    Nov 06, 2017 10:26

    Arubaini ni siku ya kufikia ukamilifu. Ukamilifu wa Ashura ni Arubaini; ukamilifu wa matendo, harakati na juhudi zote. Karbala katika Siku ya Arubaini huwa ni kioo cha waliofikia kilele cha umaanawi kiasi kwamba ulegevu, uzembe, udhaifu na kurejea nyuma huwa havina nafasi tena katika hali hiyo.

  • Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi

    Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi

    Oct 02, 2017 02:30

    Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji, warahmatullahi wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kwa mara nyengine nyoyo za waliokomboka kifikra duniani zinajielekeza kwa Imam Hussein (as) huku macho yao yakibubujikwa na machozi kwa kulikumbuka tukio la Karbala. Ni miaka 1372 imepita tangu lilipojiri tukio hilo, lakini unapowadia mwezi wa Muharram kila mwaka, Waislamu huendelea kujumuika pamoja na kushiriki kwenye majlisi za kumuomboleza Hussein Ibn Ali (as) na wafuasi wake.

  • Jumapili, Oktoba 1, 2017

    Jumapili, Oktoba 1, 2017

    Oct 01, 2017 02:33

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria, mwafaka na tarehe Mosi Oktoba 2017 Miladia.

  • Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Sep 24, 2017 12:29

    Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.

  • Ujumbe na Ibra Tunazopata Katika Tukio la Ashura

    Ujumbe na Ibra Tunazopata Katika Tukio la Ashura

    Sep 24, 2017 06:43

    Assalamu alaykum wasikilizaji wetu wapenzi warahmatullahi wabarakatuh. Mapambano ya Imam Hussein (as) na wafuasi wake waaminifu yalichukua muda usiotimia hata siku moja; na shakhsia wote hao wakubwa na waliokomboka wakauliwa shahidi na jeshi kubwa la Yazid mwana wa Muawiyah, mwana wa Abu Sufyan.

  • Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Sep 21, 2017 08:10

    Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.

  • Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Sep 20, 2017 07:48

    Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.

  • Jumamosi,  Juni 8, 2017

    Jumamosi, Juni 8, 2017

    Jun 03, 2017 02:25

    Leo ni Jumamosi tarehe 8 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1438 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 3 Juni mwaka 2017 Miladia.

  • Jumapili, Oktoba 12, 2016

    Jumapili, Oktoba 12, 2016

    Oct 12, 2016 04:36

    Leo ni Jumatano tarehe 10 Muharram 1438 Hijria sawa na 12 Oktoba 2016.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)

    Sep 16, 2018 10:27

    Je, tukio la Ashuraa na mauaji ya mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika siku ya tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria lina umuhimu katika utamaduni wa Waislamu wa madhehebu ya Shia peke yao? Au la, madhehebu nyingine za Kiislamu pia kama madhehebu za Ahlusunna, zinajali sana tukio hilo na kuumizwa mno na masaibu ya Hussein bin Ali na dhulma zilizofanywa na madhalimu dhidi ya familia hiyo ya Mtume?