-
Arubaini; kukamilika Ashura
Nov 06, 2017 10:26Arubaini ni siku ya kufikia ukamilifu. Ukamilifu wa Ashura ni Arubaini; ukamilifu wa matendo, harakati na juhudi zote. Karbala katika Siku ya Arubaini huwa ni kioo cha waliofikia kilele cha umaanawi kiasi kwamba ulegevu, uzembe, udhaifu na kurejea nyuma huwa havina nafasi tena katika hali hiyo.
-
Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi
Oct 02, 2017 02:30Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji, warahmatullahi wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kwa mara nyengine nyoyo za waliokomboka kifikra duniani zinajielekeza kwa Imam Hussein (as) huku macho yao yakibubujikwa na machozi kwa kulikumbuka tukio la Karbala. Ni miaka 1372 imepita tangu lilipojiri tukio hilo, lakini unapowadia mwezi wa Muharram kila mwaka, Waislamu huendelea kujumuika pamoja na kushiriki kwenye majlisi za kumuomboleza Hussein Ibn Ali (as) na wafuasi wake.
-
Jumapili, Oktoba 1, 2017
Oct 01, 2017 02:33Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria, mwafaka na tarehe Mosi Oktoba 2017 Miladia.
-
Al-Kaaba na Imam Hussein (as)
Sep 24, 2017 12:29Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.
-
Ujumbe na Ibra Tunazopata Katika Tukio la Ashura
Sep 24, 2017 06:43Assalamu alaykum wasikilizaji wetu wapenzi warahmatullahi wabarakatuh. Mapambano ya Imam Hussein (as) na wafuasi wake waaminifu yalichukua muda usiotimia hata siku moja; na shakhsia wote hao wakubwa na waliokomboka wakauliwa shahidi na jeshi kubwa la Yazid mwana wa Muawiyah, mwana wa Abu Sufyan.
-
Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS
Sep 21, 2017 08:10Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.
-
Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi
Sep 20, 2017 07:48Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.
-
Jumamosi, Juni 8, 2017
Jun 03, 2017 02:25Leo ni Jumamosi tarehe 8 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1438 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 3 Juni mwaka 2017 Miladia.
-
Jumapili, Oktoba 12, 2016
Oct 12, 2016 04:36Leo ni Jumatano tarehe 10 Muharram 1438 Hijria sawa na 12 Oktoba 2016.
-
Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (2)
Sep 16, 2018 10:27Je, tukio la Ashuraa na mauaji ya mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika siku ya tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria lina umuhimu katika utamaduni wa Waislamu wa madhehebu ya Shia peke yao? Au la, madhehebu nyingine za Kiislamu pia kama madhehebu za Ahlusunna, zinajali sana tukio hilo na kuumizwa mno na masaibu ya Hussein bin Ali na dhulma zilizofanywa na madhalimu dhidi ya familia hiyo ya Mtume?