-
Radiamali ya watumiaji X kwa mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza: hatuamini, Trump si mwaminifu
Oct 04, 2025 09:44Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamesisitiza haja ya kuwa macho dhidi ya mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza.
-
Watumiaji X katika kuunga mkono msafara wa Sumud: Kila meli ni sauti ya kutaka uhuru wa Palestina
Oct 03, 2025 07:02Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wameuita msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud kuwa meli ya ukarimu na utu wa binadamu.
-
Watumiaji wa X: Hamas inawakilisha watu wa Palestina
Sep 28, 2025 13:33Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameitaja harakati ya muqawama wa Palestina "Hamas" mwakilishi wa watu wa Palestina wanaotetea taifa lao.
-
Machapisho yaliyochaguliwa ya watumiaji wa X; Kutoka salamu za ghera kwa mwanamke wa Kiirani hadi kukosoa ushirikiano wa Magharibi na utawala wa Kizayuni.
Jun 08, 2025 13:00Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wametoa radiamali zao kwa masuala mbalimbali ya kimataifa katika jumbe zao.
-
Seyyed Abbas Araghchi: Iran inalaani jaribio lolote la kudhuru umoja wa Waislamu
May 28, 2025 04:07Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tehran inalaani vikali jaribio lolote la kushambulia umoja wa Waislamu.
-
"Dunia bila Israeli ni mahali pazuri zaidi kwa watoto"; radiamali ya watumiaji X kwa kilio cha mtoto wa Kipalestina katika shule iliyolipuliwa huko Gaza
May 28, 2025 03:57Msichana wa Kipalestina aliokolewa kimiujiza katika shule moja kwenye Ukanda wa Gaza ambayo ilikuwa ikiteketea kabisa na moto na vilio vya wanawake na watoto vilisikika.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika
Feb 24, 2025 05:12Ukurasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu wa lugha ya Kiibrania katika mtandao wa kijamii wa X umeandika, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
-
Watumiaji X katika kukabiliana na mpango wa kuikalia Gaza: Israel inaharibu, Trump anakalia kwa mabavu
Feb 11, 2025 16:09Watumiaji wa mtandao wa X wameuchukulia mpango wa Donald Trump, rais wa Marekani wa kuwahamisha watu wa Gaza kutoka Palestina, kama ishara tosha ya ukoloni mpya wa Marekani.
-
Picha gani ni ya kweli?
Jan 06, 2025 13:45Parstoday- Mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa X amefanya ulinganishaji kati ya filamu ya The Pianist (Mpiga Piano) na mandhari ya malalamiko na upinzani ya Mkuu wa Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza.