-
Kiongozi wa Mapinduzi: Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika
Feb 24, 2025 05:12Ukurasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu wa lugha ya Kiibrania katika mtandao wa kijamii wa X umeandika, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
-
Watumiaji X katika kukabiliana na mpango wa kuikalia Gaza: Israel inaharibu, Trump anakalia kwa mabavu
Feb 11, 2025 16:09Watumiaji wa mtandao wa X wameuchukulia mpango wa Donald Trump, rais wa Marekani wa kuwahamisha watu wa Gaza kutoka Palestina, kama ishara tosha ya ukoloni mpya wa Marekani.
-
Picha gani ni ya kweli?
Jan 06, 2025 13:45Parstoday- Mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa X amefanya ulinganishaji kati ya filamu ya The Pianist (Mpiga Piano) na mandhari ya malalamiko na upinzani ya Mkuu wa Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza.