• Jumanne, tarehe 8 Aprili, 2025

    Jumanne, tarehe 8 Aprili, 2025

    Apr 08, 2025 02:20

    Leo ni Jumanne tarehe 9 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 8 mwaka 2025.

  • Jumatano, tarehe 05 Februari, 2025

    Jumatano, tarehe 05 Februari, 2025

    Feb 05, 2025 05:44

    Leo ni Jumatano tarehe 06 Shaabani 1446 Hijria, sawa na Februari 5 mwaka 2025.

  • Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Jan 01, 2024 04:08

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran mpopote pale mlipo wakati huu. Mnamo tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jumada-Thani, mwaka wa tano kutokea Kubaathiwa Bwana Mtume, uliosadifiana na mwaka 615 Miladia, nyumba ya Nabii Muhammad (SAW) Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mkewe Bibi Khadija katika mji wa Makka, iliangazwa na nuru ya kuzaliwa mwana mtukufu. Mwenyezi Mungu aliwabariki watukufu hao wawili binti ambaye, alikuja kuendeleza kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume SAW.

  • Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Oct 03, 2023 02:42

    Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2023.

  • Alkhamisi, Septemba 14, 2023

    Alkhamisi, Septemba 14, 2023

    Sep 14, 2023 02:25

    Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Mfunguo Tano Safar 1445 Hijria, mwafaka na tarehe 14 Septemba 2023 Milaadia.

  • Usikichome, Leta Mfano Wake Kama Unaweza!

    Usikichome, Leta Mfano Wake Kama Unaweza!

    Aug 17, 2023 07:13

    Siku moja miaka mingi sana iliyopita, yaani miaka elfu mbili kabla ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as), watu wa Namrud (Nimrodi) walikuwa wamerejea makwao kutoka kwenye shughuli ya kidini.

  • Alkhamisi, tarehe 13 Julai, 2023

    Alkhamisi, tarehe 13 Julai, 2023

    Jul 13, 2023 02:15

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Julai 13, mwaka 2023.

  • Jumatano, tarehe 14 Juni, 2023

    Jumatano, tarehe 14 Juni, 2023

    Jun 14, 2023 02:37

    Leo ni Jumatano tarehe 25 Dhilqaada 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Juni mwaka 2023.

  • Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Feb 18, 2023 02:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Rajab 1444 Hijria sawa na Februari 18 mwaka 2023 Miladia.

  • Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Dec 08, 2022 09:06

    Tarehe 13 Jumadil-Awwal, ni siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi binti wa Mtume wetu, Muhammad al Mustafa (saw), Bibi Fatimatu Zahra (as) na siku ya maombolezo ya Waislamu hususan wapenzi wa Ahlul Bait (as).