Feb 08, 2024 07:53
Vita vya Uingereza na Marekani dhidi ya Yemen ni vita vya kuilinda Israel na kampeni yake ya mauaji ya kimbari huko Gaza. Marekani na Uingereza, zikiwa mifano miwili ya nchi tajiri zaidi duniani, zinashambulia kwa makombora moja ya mataifa maskini zaidi duniani, Yemen, ambalo kosa lake ni kulitetea taifa linalodhulumiwa zaidi duniani la Palestina, huko Gaza.