• Sura ya Ya-Sin, aya ya 45-50 (Darsa ya 795)

    Sura ya Ya-Sin, aya ya 45-50 (Darsa ya 795)

    Dec 22, 2018 09:22

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya Ya-Sin, aya ya 28-35 (Darsa ya 793)

    Sura ya Ya-Sin, aya ya 28-35 (Darsa ya 793)

    Dec 19, 2018 11:50

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya Ya-Sin, aya ya 20-27 (Darsa ya 792)

    Sura ya Ya-Sin, aya ya 20-27 (Darsa ya 792)

    Dec 19, 2018 11:39

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya Ya-Sin, aya ya 13-19 (Darsa ya 791)

    Sura ya Ya-Sin, aya ya 13-19 (Darsa ya 791)

    Dec 19, 2018 10:42

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya Ass 'Affat, aya ya 7-11 (Darsa ya 803)

    Sura ya Ass 'Affat, aya ya 7-11 (Darsa ya 803)

    Dec 19, 2018 10:15

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya Ass 'Affat, aya ya 12-21 (Darsa ya 804)

    Sura ya Ass 'Affat, aya ya 12-21 (Darsa ya 804)

    Dec 19, 2018 09:56

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur'ani.

  • Sura ya Ass 'Affat, aya ya 1-6 (Darsa ya 802)

    Sura ya Ass 'Affat, aya ya 1-6 (Darsa ya 802)

    Dec 04, 2018 09:03

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur'ani.

  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 12:37

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Nafasi ya Qur'ani Tukufu katika mapambano ya Imam Husain AS (1)

    Nafasi ya Qur'ani Tukufu katika mapambano ya Imam Husain AS (1)

    Sep 11, 2018 07:46

    Mapambano ya Karbala na Hamasa ya Imam Husain AS alikuwa ni mapinduzi ya kipekee ambayo yaliweza kwa haraka mno kushinda mapinduzi mengine yote, kuwafedhehesha madhalimu, kufichua uovu wao na kusafisha vumbi la propaganda chafu lililokuwa limefunika uhakika wa dini tukufu ya Kiislamu.

  • Mwaliko wa Ramadhani

    Mwaliko wa Ramadhani

    May 28, 2018 12:14

    Waashiki wa Qur'ani Tukufu hukikaribia zaidi kitabu hiki cha mbinguni katika mwezi huu mtukufu na kuzipa nyoyo zao msisimuko na uhai mpya kwa kusoma, kujifunza na kudiriki maarifa yake.