• Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Feb 07, 2023 05:32

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo kwa leo tutazungumzia nafasi ya Qur'ani, Umaanawi, Uongozi wa Imam Khomeini na Umoja wa matabaka mbalimbali ya jamii ya Iran katika kufanikisha mapinduzi hayo. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (22)

    Akhlaqi Katika Uislamu (22)

    Nov 07, 2022 08:55

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 22 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitahusu mambo yenye ulazima kwa jamii ili kuweza kuwa na umoja. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (17)

    Akhlaqi Katika Uislamu (17)

    Nov 06, 2022 14:58

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 17 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Uhusiano wa Umoja na ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu (Wiki ya Umoja wa Kiislamu)

    Uhusiano wa Umoja na ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu (Wiki ya Umoja wa Kiislamu)

    Oct 11, 2022 06:52

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema moja ya malengo ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ni kuunda ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu na kuwa lengo hilo haliwezi kufikiwa ila kwa kuwepo umoja wa Shia na Sunni.

  • Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 05, 2018 10:06

    Katika kipindi cha miaka 10 aliyoishi katika mji mtakatifu wa Madina, Mtume Mtukufu SAW alikuwa mfano unaong'ara na usio na mfano wake wa kuimarisha umoja na udugu wa Kiislamu katika jamii ya Kiislamu.

  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 12:37

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Nov 24, 2018 07:27

    Assalamu Alaykum Warahamtullahi Wabarakatuh. Wasikilizaji wapenzi, tungali tumo kwenye masiku ya kuadhimisha Maulidi, yaani uzawa wa shakhsia wa kustaajabisha katika historia na zama, ambaye alipambika kwa sifa bora za akhlaqi, zilizowavutia watu na kuwajenga kiutu.

  • Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Wiki ya Umoja: Uislamu unaoshajiisha Umoja; dharura ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 20, 2018 12:11

    Tuko katika siku tukufu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu, ambayo ni wiki ya kuadhimishwa uzawa na maulidi ya Mtume Mtukufu Muhammad (saw).

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (75)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (75)

    Nov 03, 2018 11:16

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 75 na ya mwisho.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (74)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (74)

    Nov 03, 2018 11:11

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 74.