-
Jumatatu 12 Juni, 2017
Jun 11, 2017 21:04Leo ni Jumatatu tarehe 17 Ramadhani 1438 Hijria sawa na Juni 12, 2017.
-
Theresa May ashindwa vibaya katika uchaguzi wa Uingereza
Jun 10, 2017 03:03Katika hali ambayo Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye pia ni kiongozi wa chama cha Wahafidhina alikuwa anataraji kupata wingi mutlaki wa viti katika uchaguzi wa mapema wa bunge alioitisha nchini humo, chama chake hicho kimepata pigo kubwa na hata kupoteza wingi wa viti bungeni.
-
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni
Jun 08, 2017 23:41Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.
-
Zarif: Wananchi wa Iran hawaogopeshwi na vitisho
May 25, 2017 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, taifa la Iran ni taifa imara na la watu wasiotetereka hivyo haliogopeshwi na vitisho vyovyote vya Marekani.
-
Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi
May 20, 2017 23:04Rais mteule wa watu wa Iran katika awamu ya 12 amesema mshindi halisi katika uchaguzi wa rais wa Mei 19 ni wananchi wa Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
May 20, 2017 08:50Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa uchaguzi wa jana Ijumaa (Mei 19, 2017) wa Iran na kusema kuwa, mshindi wa uchaguzi huo ni wananchi wa Iran na mfumo Jamhuri ya Kiislamu ambapo licha ya kuweko njama nyingi za maadui, lakini uchaguzi huo umevutia umati mkubwa wa wananchi wa taifa hili kubwa kwa namna bora kabisa.
-
Rais Hassan Rouhani atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana
May 20, 2017 05:36Tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imemtangaza Rais Hassan Rouhani kuwa mshindi wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais iliyofanyika Ijumaa ya jana kwa kupata asilimia 57.
-
Rais Hassan Rouhani aendelea kuongoza katika matokeo ya pili ya uchaguzi wa jana
May 20, 2017 03:44Kwa mujibu wa matokeo ya awamu ya pili ya uchaguzi wa rais wa duru ya 12 nchini Iran, Rais Hassan Rouhani ameendelea kuongoza kwa kupata zaidi ya kura milioni 22.
-
Rais Rouhani anaongoza katika matokeo ya awali, akifuatiwa na Raeisi
May 19, 2017 23:30Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi uliofanyika jana hapa nchini Iran linaendelea na matokeo ya awali yanaonyesha kuwa, Rais wa sasa Hassan Rouhani anaongoza akifuatiwa na Sayyid Ibrahim Raeisi.
-
Muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais wa Iran waongezwa
May 19, 2017 12:07Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa duru ya 12 ya urais.