Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi

    Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi

    May 20, 2017 23:04

    Rais mteule wa watu wa Iran katika awamu ya 12 amesema mshindi halisi katika uchaguzi wa rais wa Mei 19 ni wananchi wa Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    May 20, 2017 08:50

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa uchaguzi wa jana Ijumaa (Mei 19, 2017) wa Iran na kusema kuwa, mshindi wa uchaguzi huo ni wananchi wa Iran na mfumo Jamhuri ya Kiislamu ambapo licha ya kuweko njama nyingi za maadui, lakini uchaguzi huo umevutia umati mkubwa wa wananchi wa taifa hili kubwa kwa namna bora kabisa.

  • Rais Hassan Rouhani atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    Rais Hassan Rouhani atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    May 20, 2017 05:36

    Tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imemtangaza Rais Hassan Rouhani kuwa mshindi wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais iliyofanyika Ijumaa ya jana kwa kupata asilimia 57.

  • Rais Hassan Rouhani aendelea kuongoza katika matokeo ya pili ya uchaguzi wa jana

    Rais Hassan Rouhani aendelea kuongoza katika matokeo ya pili ya uchaguzi wa jana

    May 20, 2017 03:44

    Kwa mujibu wa matokeo ya awamu ya pili ya uchaguzi wa rais wa duru ya 12 nchini Iran, Rais Hassan Rouhani ameendelea kuongoza kwa kupata zaidi ya kura milioni 22.

  • Rais Rouhani anaongoza katika matokeo ya awali, akifuatiwa na Raeisi

    Rais Rouhani anaongoza katika matokeo ya awali, akifuatiwa na Raeisi

    May 19, 2017 23:30

    Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi uliofanyika jana hapa nchini Iran linaendelea na matokeo ya awali yanaonyesha kuwa, Rais wa sasa Hassan Rouhani anaongoza akifuatiwa na Sayyid Ibrahim Raeisi.

  • Muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais wa Iran waongezwa

    Muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais wa Iran waongezwa

    May 19, 2017 12:07

    Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa duru ya 12 ya urais.

  • Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo

    Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo

    May 19, 2017 11:54

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amepongeza ushiriki mkubwa wa wananchi katika upigaji kura wa uchaguzi wa rais leo na kusema kuwa, suala hilo ni jambo muhimu.

  • Waziri wa Usalama wa Taifa nchini Iran: Harakati zote za adui zinafuatiliwa kwa karibu

    Waziri wa Usalama wa Taifa nchini Iran: Harakati zote za adui zinafuatiliwa kwa karibu

    May 19, 2017 11:53

    Waziri wa Usalama wa Taifa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, askari wa usalama wa nchi hii watatoa jibu kwa njama yoyote ya maadui.

  • Uchaguzi; hamasa nyengine ya kihistoria iliyoonyeshwa na wananchi wa Iran

    Uchaguzi; hamasa nyengine ya kihistoria iliyoonyeshwa na wananchi wa Iran

    May 19, 2017 10:14

    Uchaguzi wa 12 wa rais, uchaguzi wa tano wa Mabaraza ya Kiislamu ya Miji na Vijiji na uchaguzi mdogo wa bunge la 10 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilifanyika kuanzia saa mbili asubuhi ya leo Ijumaa katika vituo 63,500 vya upigaji kura nchini kote.

  • Rouhani asema mahudhurio makubwa yataimarisha izza, usalama wa Iran

    Rouhani asema mahudhurio makubwa yataimarisha izza, usalama wa Iran

    May 19, 2017 03:15

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais unaofanyika hii leo hapa nchini akisisitiza kuwa, mahudhurio makubwa katika zoezi hilo yataimarisha izza na usalama wa Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS