Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • UN yasisitiza udharura wa kufanyika mazungumzo DRC

    UN yasisitiza udharura wa kufanyika mazungumzo DRC

    Mar 24, 2016 03:38

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuna udharura wa kufanyika mazungumzo baina ya wanasiasa wa nchi hiyo kwa shabaha ya kukomesha hitilafu za ndani.

  • Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump

    Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump

    Mar 23, 2016 02:57

    Mgombea wa kiti cha rais kupitia chama cha Republican Ted Cruz amependekeza kuazishwa msako mkali dhidi ya wafuasi wa dini ya Kiislamu eti kwa shabaha ya kuwazuia ‘wasiingie kwenye kundi la wenye misimamo iliyofurutu ada’.

  • Shein ashinda uchaguzi wa rais Zanzibar kwa 91%, Maalim Seif 1.9% licha ya kususia

    Shein ashinda uchaguzi wa rais Zanzibar kwa 91%, Maalim Seif 1.9% licha ya kususia

    Mar 21, 2016 11:45

    Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC imemtangaza mgombea wa kiti cha rais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dakta Ali Muhammed Shein kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio uliofanyika jana visiwani humo.

  • Chaguzi sita zafanyika Afrika leo

    Chaguzi sita zafanyika Afrika leo

    Mar 20, 2016 12:39

    Leo kumekuwa na upigaji kurakatika nchi sita za Afrika yaani nchini Kongo Brazzaville, Benin, Niger, Cape Verde, Visiwani Zanzibar nchini Tanzania na kura ya maoni nchini Senegal.

  • Kura zahesabiwa baada ya uchaguzi Zanzibar

    Kura zahesabiwa baada ya uchaguzi Zanzibar

    Mar 20, 2016 12:21

    Zoezi la kuhesabu kura linaendelea visiwani Zanzibar baada ya uchaguzi kufuatia matokeo ya uchaguzi uliofanyika tarehe 25 Oktoba 2015 kufutwa na tume ya uchaguzi ya visiwa hivyo ZEC.

  • Duru ya pili uchaguzi wa rais Niger bila mpinzani

    Duru ya pili uchaguzi wa rais Niger bila mpinzani

    Mar 20, 2016 12:05

    Duru ya pili ya kiti cha rais nchini Niger imefanyika leo huku kukiwa na hali tete ya usalama na wapinzani wakisusia zoezi hilo na mgombea wa pili akiwa anapata matibabu Ufaransa.

  • Serikali ya Congo Brazzaville yayataka mashirika ya simu kukata mawasiliano wakati wa uchaguzi hapo kesho

    Serikali ya Congo Brazzaville yayataka mashirika ya simu kukata mawasiliano wakati wa uchaguzi hapo kesho

    Mar 19, 2016 13:16

    Serikali ya Jamhuri ya Congo Brazzaville imeyataka mashirika mawili makubwa ya simu nchini humo kukata mawasiliano yote wakati wa kufanyika uchaguzi wa Rais hapo kesho.

  • Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Uchaguzi wa marudio Zanzibar unafanyika kesho Jumapili

    Mar 19, 2016 13:13

    Uchaguzi uliofutwa mwaka jana katika visiwa vya Zanzibar ambayo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unatarajiwa kufanyika Jumapili ya kesho huku Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikitangaza kuwa, maandalizi yote kwa ajili ya uchaguzi huo yamekamilika.

  • CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    CCM: Uchaguzi ni suluhu ya mzozo wa Zanzibar

    Mar 19, 2016 04:13

    Wananchi wa Zanzibar kesho Jumapili wanatazamiwa kuelekea kwenye masanduku ya kupiga kura katika uchaguzi wa marudio visiwani humo, ambao utashirikisha wagombea wa urais na wagombea wa ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka vyama mbalimbali.

  • Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Mar 17, 2016 23:20

    Donald Trump, anayewania uteuzi wa chama cha Republican kugombea kiti cha urais Marekani ametishia kuwa, iwapo hatateuliwa na chama hicho, basi watu wasubiri ghasia na machafuko kote Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS