-
Serikali ya Niger yatakiwa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kambi ya upinzani
Mar 13, 2016 23:02Jumuiya ya Wafanyakazi ya Niger imeitaka serikali ya nchi hiyo kufanya mazungumzo na kambi ya upinzani kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Sakata la uchaguzi wa Meya jijini Dar es Salaam, Tanzania + Sauti
Mar 06, 2016 14:39Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wameitaka mamlaka inayohusika kusimamia uchaguzi wa meya wa jiji hilo unaokwama kufanyika kutokana na kuahirishwa mara kwa mara, kutangaza tarehe rasmi ya kufanyika uchaguzi huo ili jiji hilo limpate kiongozi wake.
-
Kampeni za uchaguzi wa rais Congo Brazzaville
Mar 06, 2016 03:53Wagombea tisa wa kiti cha urais huko Jamhuri ya Kongo wameanza kampeni zao za kuwania kiti cha urais.
-
Rais wa Gabon kuwania muhula wa pili mwaka huu
Mar 01, 2016 04:22Rais wa Gabon Ali Bongo amesema atawania kuhifadhi kiti chake kwa muhula wa pili katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.
-
Mkuu wa tume ya uchaguzi Iran: Hakuna matokeo yoyote yaliyofutwa
Feb 28, 2016 13:01Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa, hadi hivi sasa hakuna matokeo yoyote ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) na wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu yaliyofutwa.
-
Mgombea wa urais Niger ambaye yuko jela kuwania duru ya pili
Feb 28, 2016 04:26Rais wa sasa wa Niger Mahamadou Issoufou anayewania kuongoza kwa muhula wa pili atachuana na mpinzani wake wa karibu Hama Amadou, ambaye yuko kizuizini katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Machi 20 mwaka huu.
-
Larijan: Iran inataka kuona umoja wa kiistrataji miongoni mwa Waislamu
Feb 28, 2016 04:24Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema moja ya sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kuona umoja na mshikamano wa kiistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu unadumishwa.
-
Uchaguzi wa Rais nchini Niger waingia duru ya pili
Feb 28, 2016 04:08Uchaguzi wa Rais nchini Niger uliofanyika Jumapili iliyopita na kuwapambanisha wagombea 15 umeingia duru ya pili baada ya kukosekana mshindi katika duru ya kwanza.
-
Kujitokeza Wairani katika uchaguzi ni ishara ya ufahamu
Feb 26, 2016 12:45Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema kujitokeza kwa wingi Wairani katika chaguzi mbili za leo ni ishara ya kuwa hai na kuwa na ufahamu na uelewa taifa la Iran.
-
Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran
Feb 25, 2016 22:19Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa maandalizi na taratibu zote za uchaguzi wa kumi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na wa tano Baraza la Wataalamu zimekamilika.