-
Iran: Hatutaki ushauri wa kigeni juu ya uchaguzi wetu
Feb 23, 2016 04:20Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni nchi huru isiyohitaji ushauri wa nchi za kigeni juu ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu uliopangwa kufanyika siku ya Ijumaa.
-
Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili
Feb 23, 2016 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.
-
Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi
Feb 22, 2016 04:21Wananchi wa Niger wameilalamikia vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuendesha vibaya uchaguzi.
-
Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda
Feb 22, 2016 03:40Tume ya Uchaguzi ya Uganda juzi alasiri ilitangaza kuwa Yoweri Museveni ni Rais Mpya wa nchi hiyo baada ya kushinda zaidi ya asilimia 60 ya kura na hivyo kumshinda mpinzani wake mkuu Dakta Kiiza Besigye.
-
Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais
Feb 21, 2016 12:32Wananchi wa Niger waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, ambayo kwa muda sasa imekuwa ikikabiliwa na shambulio moja baada ya jingine kutoka kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR
Feb 19, 2016 23:37Faustin Archange Touadera, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amepata ushindi wa mapema katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita ya Februari 14.
-
Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo
Feb 19, 2016 11:35Polisi nchini Uganda imesema itaendelea kumzuilia mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha FDC, Dakta Kizza Besigye na kwamba huenda akaachiwa huru hapo kesho baada ya matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais na bunge kutangazwa.
-
Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki
Feb 19, 2016 04:24Waziri Mkuu wa zamani wa Uganda, Amama Mbabazi amesema atakubali matokeo ya uchaguzi endapo kutakuweko uwazi katika mchakato mzima wa kuhesabu kura.
-
Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda
Feb 19, 2016 00:08Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Uganda yanaonyesha kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala cha NRM, Yoweri Kaguta Museveni anaongoza kwa kupata kura nyingi zaidi zilizohesabiwa.
-
Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa
Feb 18, 2016 13:12Uchaguzi wa rais na bunge nchini Uganda ambao ulianza saa moja asubuhi leo kwa saa za nchi hiyo katika vituo vingi vya kupiga kura umemalizika saa moja jioni bila kuripotiwa visa vikubwa vya uhalifu na uchakachuaji.