Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Iran: Hatutaki ushauri wa kigeni juu ya uchaguzi wetu

    Iran: Hatutaki ushauri wa kigeni juu ya uchaguzi wetu

    Feb 23, 2016 04:20

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni nchi huru isiyohitaji ushauri wa nchi za kigeni juu ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu uliopangwa kufanyika siku ya Ijumaa.

  • Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Feb 23, 2016 04:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.

  • Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Feb 22, 2016 04:21

    Wananchi wa Niger wameilalamikia vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuendesha vibaya uchaguzi.

  • Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Feb 22, 2016 03:40

    Tume ya Uchaguzi ya Uganda juzi alasiri ilitangaza kuwa Yoweri Museveni ni Rais Mpya wa nchi hiyo baada ya kushinda zaidi ya asilimia 60 ya kura na hivyo kumshinda mpinzani wake mkuu Dakta Kiiza Besigye.

  • Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Feb 21, 2016 12:32

    Wananchi wa Niger waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, ambayo kwa muda sasa imekuwa ikikabiliwa na shambulio moja baada ya jingine kutoka kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

  • Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR

    Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR

    Feb 19, 2016 23:37

    Faustin Archange Touadera, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amepata ushindi wa mapema katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita ya Februari 14.

  • Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo

    Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo

    Feb 19, 2016 11:35

    Polisi nchini Uganda imesema itaendelea kumzuilia mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha FDC, Dakta Kizza Besigye na kwamba huenda akaachiwa huru hapo kesho baada ya matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais na bunge kutangazwa.

  • Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki

    Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki

    Feb 19, 2016 04:24

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uganda, Amama Mbabazi amesema atakubali matokeo ya uchaguzi endapo kutakuweko uwazi katika mchakato mzima wa kuhesabu kura.

  • Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda

    Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda

    Feb 19, 2016 00:08

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Uganda yanaonyesha kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala cha NRM, Yoweri Kaguta Museveni anaongoza kwa kupata kura nyingi zaidi zilizohesabiwa.

  • Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa

    Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa

    Feb 18, 2016 13:12

    Uchaguzi wa rais na bunge nchini Uganda ambao ulianza saa moja asubuhi leo kwa saa za nchi hiyo katika vituo vingi vya kupiga kura umemalizika saa moja jioni bila kuripotiwa visa vikubwa vya uhalifu na uchakachuaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS