Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Shamkhani: Uchaguzi wa Iran, nembo ya kuthibiti utawala wa kidini unaotokana na wananchi

    Shamkhani: Uchaguzi wa Iran, nembo ya kuthibiti utawala wa kidini unaotokana na wananchi

    Feb 25, 2016 11:59

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni nembo ya kuthibiti utawala wa kidini unaotokana na ridhaa ya wananchi.

  • Radiamali ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya uchaguzi

    Radiamali ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya uchaguzi

    Feb 24, 2016 07:18

    Uchaguzi katika nchi iliyokumbwa na machafuko ya Jamhuri ya Afrika ya Kati umemalizika huku kukiwa na hisia tofauti kuhusu uchaguzi huo.

  • Wanasheria wazungumzia kurudiwa uchaguzi Zanzibar

    Wanasheria wazungumzia kurudiwa uchaguzi Zanzibar

    Feb 24, 2016 07:15

    Wanasheria mbalimbali visiwani Zanzibar wamepinga matamshi ya hivi karibuni ya Jecha Salim Jecha, Mkuu wa Tume ya Uchaguzi visiwani humo ZEC

  • Wapinzani Niger wakataa matokeo ya awali ya uchaguzi

    Wapinzani Niger wakataa matokeo ya awali ya uchaguzi

    Feb 24, 2016 04:43

    Vyama vya upinzani Niger vimepinga matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ambayo yalionyesha rais wa sasa Mahammadou Issofou akiongoza.

  • Iran: Hatutaki ushauri wa kigeni juu ya uchaguzi wetu

    Iran: Hatutaki ushauri wa kigeni juu ya uchaguzi wetu

    Feb 23, 2016 04:20

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni nchi huru isiyohitaji ushauri wa nchi za kigeni juu ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu uliopangwa kufanyika siku ya Ijumaa.

  • Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Feb 23, 2016 04:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.

  • Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Feb 22, 2016 04:21

    Wananchi wa Niger wameilalamikia vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuendesha vibaya uchaguzi.

  • Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Feb 22, 2016 03:40

    Tume ya Uchaguzi ya Uganda juzi alasiri ilitangaza kuwa Yoweri Museveni ni Rais Mpya wa nchi hiyo baada ya kushinda zaidi ya asilimia 60 ya kura na hivyo kumshinda mpinzani wake mkuu Dakta Kiiza Besigye.

  • Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Feb 21, 2016 12:32

    Wananchi wa Niger waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, ambayo kwa muda sasa imekuwa ikikabiliwa na shambulio moja baada ya jingine kutoka kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

  • Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR

    Touadera apata ushindi wa mapema katika uchaguzi wa rais CAR

    Feb 19, 2016 23:37

    Faustin Archange Touadera, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amepata ushindi wa mapema katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita ya Februari 14.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS