• Jamii ya kimataifa yatoa wito wa kufanyika mazungumzo kuhusu uchaguzi wa Kongo DR

    Jamii ya kimataifa yatoa wito wa kufanyika mazungumzo kuhusu uchaguzi wa Kongo DR

    Feb 18, 2016 08:40

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Lugha ya Kifaransa (Francophone) jana zilitoa taarifa ya pamoja na kuwataka wanaharakati wa kisiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuanza mazungumzo mapana ya kisiasa haraka iwezekakanavyo kuhusu suala la kufanyika uchaguzi nchini humo.

  • EC yaonya wenye nia ya kuvuruga uchaguzi  Uganda

    EC yaonya wenye nia ya kuvuruga uchaguzi Uganda

    Feb 17, 2016 22:42

    Tume ya uchaguzi nchini Uganda imewaonya vikali wenye nia ya kuvuruga zoezi la upigaji kura linalofanyika leo (Alkhamisi) na kusisitiza kuwa, watu wa aina hiyo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Tume hiyo pia imesisitiza kuwa uchaguzi wa leo nchini Uganda utakuwa huru na wa haki.

  • Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Uchaguzi wa Somalia kufanyika mwezi Julai mwaka huu

    Feb 17, 2016 22:41

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Somalia amesema, viongozi wa baadhi ya majimbo nchini humo wamekubaliana na pendekezo la serikali kuu la kufanyika uchaguzi mwezi Julai mwaka huu.

  • Kampeni  zamalizika Uganda, uchaguzi Alkhamisi

    Kampeni zamalizika Uganda, uchaguzi Alkhamisi

    Feb 17, 2016 03:33

    Nchini Uganda kampeni za uchaguzi zilimalizika Jumanne huku wagombea wa viti vya urais na ubunge wakijitayarisha kwa ajili ya upigaji kura siku ya Alkhamisi.

  • Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda

    Serikali yazidi kuwabana wapinzani nchini Uganda

    Feb 15, 2016 11:56

    Huku siku chache tu zikiwa zimebakia hadi kufanyika uchaguzi mkuu wa Februari 18 nchini Uganda, polisi ya nchi hiyo leo imemtia mbaroni na baadaye kuwachia Daktari Kizza Besigye, kiongozi wa chama cha upinzani cha cha FDC. Besigye amekamatwa na polisi wakati alipokuwa anakwenda kwenye mkutano wa hadhara katika wilaya yenye shughuli nyingi, jijini Kampala.

  • Tume: Uchaguzi nchini CAR umefanyika kwa amani

    Tume: Uchaguzi nchini CAR umefanyika kwa amani

    Feb 15, 2016 11:56

    Uchaguzi Mkuu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umefanyika katika mazingira ya utulivu na amani.

  • Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati yafanyika leo

    Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati yafanyika leo

    Feb 14, 2016 03:34

    Duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati inafanyika leo ambayo inaonekana kuwa ni hatua muhimu ya kurejesha utawala wa kidemokrasia na kumaliza miaka kadhaa ya vita vilivyoleta mpasuko na mgawanyiko nchini humo.

  • Rais wa Liberia yuko nchini Uganda kwa ajili ya uchaguzi

    Rais wa Liberia yuko nchini Uganda kwa ajili ya uchaguzi

    Feb 13, 2016 22:22

    Rais Ellien Johnson Sirleaf wa Liberia yuko nchini Uganda kufuatilia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki unliopangwa kufanyika wiki ijayo Februari 18.

  • Uchaguzi wa rais Benin waahirishwa hadi mwezi ujao

    Uchaguzi wa rais Benin waahirishwa hadi mwezi ujao

    Feb 13, 2016 11:55

    Duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais nchini Benin ambao ulitazamiwa kufanyika mwishoi mwa mwezi huu umeahirishwa hadi mwezi ujao.

  • Chama cha CUF nchini Tanzania chakubali kurudi kwenye mazungumzo lakini…

    Chama cha CUF nchini Tanzania chakubali kurudi kwenye mazungumzo lakini…

    Feb 12, 2016 23:53

    Chama cha Wananchi CUF cha nchini Tanzania kimekubali kurudi kwenye mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi wa amani mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar, kwa sharti kwamba, mchakato wa uchaguzi wa marudio usimamishwe.