Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Jan 30, 2018 13:06

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa wa Misri wametia saini taarifa ya kususia uchaguzi ujao wa rais nchini humo wakisema kuwa, hautakuwa na sifa za awali kabisa za uchaguzi huru na wa haki.

  • Al-Sisi asafishiwa njia kutetea kiti cha urais baada ya wapinzani wake kutiwa mbaroni au kujitoa

    Al-Sisi asafishiwa njia kutetea kiti cha urais baada ya wapinzani wake kutiwa mbaroni au kujitoa

    Jan 25, 2018 03:58

    Mpinzani wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ujao wa Rais ametangaza kujitoa katika mbio hizo hatua ambayo inamsafishia njia Rais wa sasa wa nchi hiyo kutetea kiti chake.

  • Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais

    Rais wa Zimbabwe: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi wa rais

    Jan 24, 2018 11:09

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ameahidi kuwa nchi hiyo itafanya uchaguzi wa urais kabla ya Julai mwaka huu na kwamba ataheshimu uamuzi wa wananchi.

  • Rais wa Nigeria asema hajui kama atagombea muhula wa pili

    Rais wa Nigeria asema hajui kama atagombea muhula wa pili

    Jan 18, 2018 11:00

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema hajui iwapo atagombea muhula wa pili wa uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao 2019 au la.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Jan 11, 2018 00:29

    Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.

  • Ra'ad al Hussein hatagombea tena ukamishna wa haki za binadamu UN, sababu ni Marekani

    Ra'ad al Hussein hatagombea tena ukamishna wa haki za binadamu UN, sababu ni Marekani

    Jan 11, 2018 00:28

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra’ad al-Hussein amejiengua katika kinyang'anyiro cha kugombea tena kiti hicho akilalamikia ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Marekani.

  • EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    Jan 10, 2018 12:43

    Mkuu wa timu ya waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti na Oktoba mwaka uliomalizika 2017 nchini Kenya amesema kampeni zilizotangulia zoezi hilo ziligubikwa na rushwa, utumiaji wa mali za umma na vitisho.

  • Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi

    Jan 06, 2018 04:44

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amewataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao, na badala yake waunge mkono jitihada zake za kutamatisha utawala wa Rais Yoweri Kaguta Museveni.

  • Waliberia washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo

    Waliberia washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo

    Dec 26, 2017 04:04

    Wananchi wa Liberia wameelekea katika masanduku ya kupigia kura asubuhi ya leo kushiriki duru ya pili ya uchaguzi wa urais.

  • Liberia yatangaza tarehe ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais

    Liberia yatangaza tarehe ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais

    Dec 13, 2017 11:43

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Liberia imetangaza Disemba 26 kuwa tarehe ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS