Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan

    UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan

    Sep 10, 2022 11:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeitaka serikali ya Taliban inayotawala Afghanistan izifungue skuli zote za wasichana nchini humo.

  • Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Aug 30, 2022 09:43

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan.

  • Kuundwa serikali ya wote, msimamo wa kiistratijia wa Iran kuhusu Afghanistan

    Kuundwa serikali ya wote, msimamo wa kiistratijia wa Iran kuhusu Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:36

    Mwaka mzima umepita tangu kuingia tena madarakani kundi la Taliban nchini Afghanistan, lakini hadi hizi sasa kundi hilo halijatambuliwa kimataifa kutokana na misimamo yake.

  • Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Watu 180 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Afghanistan

    Aug 26, 2022 07:16

    Watu wasiopungua 180 wamefariki dunia nchini Afghanistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Aug 20, 2022 10:08

    Katibu Mkuu wa Kamati ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi inayokamata kiwango kikubwa zaidi cha mihadarati na madawa ya kulevya duniani.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Aug 19, 2022 04:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililopelekea kuuawa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump: Kuondoka Afghanistan lilikuwa tukio la udhalilishwaji mkubwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 17, 2022 02:37

    Aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump amesema, kuondoka majeshi ya nchi hiyo Afghanistan ilikuwa hatua ya pupa na ya udhalilishwaji.

  • Mwaka mmoja wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan

    Mwaka mmoja wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan

    Aug 10, 2022 05:28

    Mwaka mmoja umepita tangu kundi la Taliban lilipoingia tena madarakani nchini Afghanistan lakini inaonekana kuwa mateso na matatizo ya wananchi yameongezeka kuliko hata wakati nchi hiyo ilipokuwa inakaliwa kwa mabavu na Marekani na NATO katika miaka ya 2001 hadi 2021.

  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Aug 07, 2022 08:08

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imetangaza kuangamizwa magaidi wanne wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mapigano yaliyotokea kwenye eneo la Karte-Ye-Sakhi mjini Kabul.

  • Mahakama ya ICC yashindwa kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Afghanistan

    Mahakama ya ICC yashindwa kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Afghanistan

    Aug 01, 2022 16:59

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) bado wanasitasita kuhusu suala la kuendeleza uchunguzi wa uhalifu wa kivita uliofanyika nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS