-
Wanaharakati: UN itambue mauaji ya Mashia Afghanistan kuwa ni mauaji ya kimbari
May 20, 2021 02:35Wanaharakati wa haki za binadamu na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.
-
Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua 30 Afghanistan
May 09, 2021 03:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Taliban wateka bwawa muhimu huku mapigano makali yakiwa yanaendelea Afghanistan
May 07, 2021 02:22Kundi la Taliban limeteka bwawa la pili kwa ukubwa na umuhimu nchini Afghanistan katika mapigano makali na vikosi vya jeshi la serikali kwenye mkoa wa Kandahar huku jeshi vamizi la Marekani likiwa limeanza kuwaondoa askari wake tangu ilipoivamia kijeshi nchi hiyo miaka 20 iliyopita.
-
Madai ya Rais Biden ya kudhoofika al-Qaeda na kukabiliana na ugaidi
May 04, 2021 11:04Rais Joe Biden wa Marekani Jumapili iliyopita alidai sambamba na kuanza kuondoka askari wa Marekani nchini Afghanistan baada ya miongono miwili kwamba, Washington itaendelea kufuatilia nyendo za magaidi na kusambaratisha aina yoyote ile ya tishio la ugaidi nchini Afghanistan.
-
Uvamizi na vita vya miaka 20 vya Afghanistan vimeigharimu Marekani dola trilioni mbili
May 03, 2021 02:47Ripoti iliyotolewa na kanali ya televisheni ya ABC News ya Marekani imeeleza kuwa, uvamizi wa kijeshi na vita vya miaka 20 vilivyoanzishwa na Marekani nchini Afghanistan vimegharimu takriban dola trilioni mbili na vifo vya watu wapatao laki moja na 20 elfu.
-
Kwa kuamua kuondoa wanajeshi wake, Marekani imekiri kushindwa kikamilifu Afghanistan
Apr 28, 2021 07:51Mtaalamu mmoja wa masuala ya kisiasa nchini Pakistan amesema, uamuzi wa Marekani wa kuwaondoa wanajeshi wake nchini Afghanistan ni sawa na Washington kukubali kuwa imeshindwa mtawalia kwa muda wa miaka 20 ya kuwepo kwake kijeshi nchini humo.
-
Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan
Apr 27, 2021 04:21Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.
-
Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"
Apr 25, 2021 10:47Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.
-
Rais wa Afghanistan: Taifa letu halitaporomoka kwa kuondoka askari wa Marekani
Apr 19, 2021 07:44Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameashiria uamuzi uliotangazwa hivi karibuni na Rais wa Marekani Joe Biden wa kuwaondoa askari wa jeshi la nchi hiyo walioko nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, taifa hilo kamwe halitaporomoko kwa kuondoka wanajeshi hao vamizi wa US.
-
Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan
Apr 15, 2021 12:45Mkuu wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema, nchi hiyo inajihatarisha kwa kuchukua uamuzi wa kuwaondoa askari wake nchini Afghanistan.