Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Wanaharakati: UN itambue mauaji ya Mashia Afghanistan kuwa ni mauaji ya kimbari

    Wanaharakati: UN itambue mauaji ya Mashia Afghanistan kuwa ni mauaji ya kimbari

    May 20, 2021 02:35

    Wanaharakati wa haki za binadamu na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua 30 Afghanistan

    Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua 30 Afghanistan

    May 09, 2021 03:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Taliban wateka bwawa muhimu huku mapigano makali yakiwa yanaendelea Afghanistan

    Taliban wateka bwawa muhimu huku mapigano makali yakiwa yanaendelea Afghanistan

    May 07, 2021 02:22

    Kundi la Taliban limeteka bwawa la pili kwa ukubwa na umuhimu nchini Afghanistan katika mapigano makali na vikosi vya jeshi la serikali kwenye mkoa wa Kandahar huku jeshi vamizi la Marekani likiwa limeanza kuwaondoa askari wake tangu ilipoivamia kijeshi nchi hiyo miaka 20 iliyopita.

  • Madai ya Rais Biden ya kudhoofika al-Qaeda na kukabiliana na ugaidi

    Madai ya Rais Biden ya kudhoofika al-Qaeda na kukabiliana na ugaidi

    May 04, 2021 11:04

    Rais Joe Biden wa Marekani Jumapili iliyopita alidai sambamba na kuanza kuondoka askari wa Marekani nchini Afghanistan baada ya miongono miwili kwamba, Washington itaendelea kufuatilia nyendo za magaidi na kusambaratisha aina yoyote ile ya tishio la ugaidi nchini Afghanistan.

  • Uvamizi na vita vya miaka 20 vya Afghanistan vimeigharimu Marekani dola trilioni mbili

    Uvamizi na vita vya miaka 20 vya Afghanistan vimeigharimu Marekani dola trilioni mbili

    May 03, 2021 02:47

    Ripoti iliyotolewa na kanali ya televisheni ya ABC News ya Marekani imeeleza kuwa, uvamizi wa kijeshi na vita vya miaka 20 vilivyoanzishwa na Marekani nchini Afghanistan vimegharimu takriban dola trilioni mbili na vifo vya watu wapatao laki moja na 20 elfu.

  • Kwa kuamua kuondoa wanajeshi wake, Marekani imekiri kushindwa kikamilifu Afghanistan

    Kwa kuamua kuondoa wanajeshi wake, Marekani imekiri kushindwa kikamilifu Afghanistan

    Apr 28, 2021 07:51

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kisiasa nchini Pakistan amesema, uamuzi wa Marekani wa kuwaondoa wanajeshi wake nchini Afghanistan ni sawa na Washington kukubali kuwa imeshindwa mtawalia kwa muda wa miaka 20 ya kuwepo kwake kijeshi nchini humo.

  • Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Apr 27, 2021 04:21

    Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.

  • Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa

    Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"

    Apr 25, 2021 10:47

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.

  • Rais wa Afghanistan: Taifa letu halitaporomoka kwa kuondoka askari wa Marekani

    Rais wa Afghanistan: Taifa letu halitaporomoka kwa kuondoka askari wa Marekani

    Apr 19, 2021 07:44

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameashiria uamuzi uliotangazwa hivi karibuni na Rais wa Marekani Joe Biden wa kuwaondoa askari wa jeshi la nchi hiyo walioko nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, taifa hilo kamwe halitaporomoko kwa kuondoka wanajeshi hao vamizi wa US.

  • Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan

    Mkuu wa CIA: Marekani inajitia hatarini kuwaondoa askari nchini Afghanistan

    Apr 15, 2021 12:45

    Mkuu wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema, nchi hiyo inajihatarisha kwa kuchukua uamuzi wa kuwaondoa askari wake nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS