Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wataendelea kuhudumu huko Afghanistan

    Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wataendelea kuhudumu huko Afghanistan

    Feb 20, 2021 07:51

    Katika hali ambayo serikali iliyotangulia ya Washington iliahidi kuwa, wanajeshi wa Marekani wataondoka Afghanistan hadi kufikia mwezi Mei mwaka huu; Mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ametangaza kuwa bado uamuzi haujachukuliwa kuhusu suala hilo na hivi sasa wanajeshi wao wanaendelea kuwepo huko Afghanistan.

  • Jumatatu tarehe 15 Februari mwaka 2021

    Jumatatu tarehe 15 Februari mwaka 2021

    Feb 15, 2021 01:23

    Leo ni Jumatatu tarehe tatu Rajab 1442 Hijria sawa na Februari 15 mwaka 2021.

  • Jeshi la Afghanistan laua wanachama 153 wa Taliban

    Jeshi la Afghanistan laua wanachama 153 wa Taliban

    Feb 13, 2021 11:10

    Wizara ya Ulinzi ya Afghanistan imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limewaua wanachama zaidi ya 150 wa kundi la Taliban katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

  • Maandamano ya wakazi wa Kabul ya kuunga mkono mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Afghanistan

    Maandamano ya wakazi wa Kabul ya kuunga mkono mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Afghanistan

    Feb 07, 2021 02:40

    Wananchi wanaoishi Kabul mji mkuu wa Afghanistan wamefanya maandamano makubwa wakiunga mkono mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na katiba ndani ya nchi hiyo.

  • Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Marekani yakataa kuondoa kikamilifu wanajeshi wake walioko Afghanistan

    Jan 31, 2021 02:51

    Marekani imetazama upya aghalabu ya sera na hatua za serikali iliyotangulia ya Trump baada ya kuingia madarakani serikali mpya ya Joe Biden. Siasa za Washington kuhusu Afghanistan na kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo ni kati ya masuala hayo.

  • Majaji wawili wanawake wauawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul

    Majaji wawili wanawake wauawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul

    Jan 18, 2021 04:48

    Watu wenye silaha wasiojulikana wamewaua kwa kuwapiga risasi majaji wawili wanawake katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kukosoa serikali ya Afghanistan hatua ya Taliban ya kuwalenga wananchi katika mashambulio yake

    Kukosoa serikali ya Afghanistan hatua ya Taliban ya kuwalenga wananchi katika mashambulio yake

    Dec 30, 2020 02:47

    Serikali ya Afghanistan imekosoa vikali hatua ya kundi la wanamgambo wa Taliban ya kuwalenga kwa mashambulio wanaharakati wa kiraia, shakhsia mbalimbali na wanahabari na kueleza kwamba, hicho ni kilele cha udhalili wa kundi hilo.

  • Khatibzadeh: Mizozo ya Afghanistan inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa

    Khatibzadeh: Mizozo ya Afghanistan inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa

    Dec 28, 2020 12:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia ya kuipatia ufumbuzi mizozo na mivutano inayoikabili Afghanistan ni utatuzi wa kisiasa.

  • Safari ya Miller Afghanistan; juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kuwepo kijeshi nchini humo

    Safari ya Miller Afghanistan; juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kuwepo kijeshi nchini humo

    Dec 24, 2020 03:32

    Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani juzi Jumanne alielekea mji mkuu wa Afghanistan Kabul katika safari ya ghafla ambayo haikutangazwa kabla na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Muhammad Ashraf Ghani.

  • Madaktari wanne na mpita njia wauawa katika hujuma ya kigaidi Afghanistan

    Madaktari wanne na mpita njia wauawa katika hujuma ya kigaidi Afghanistan

    Dec 23, 2020 00:53

    Madaktari wanne na mpita njia wameuawa Jumanne katika hujuma ya kigaidi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS