-
Trump abadili msimamo wake kuhusiana na Afghanistan
Jul 02, 2019 21:58Rais wa Marekani amebadili msimamo wake kuhusu matamshi aliyotoa katika mahojiano aliyofanyiwa huko nyuma kuhusu kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan.
-
Magaidi wa Marekani wauawa baada ya Pompeo kufanya safari ya kificho Afghanistan
Jun 26, 2019 02:43Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi NATO umetangaza habari ya kuuawa askari magaidi wawili wa Marekani nchini Afghanistan leo Jumatano.
-
Jeshi la Marekani latumia helikopta kuwaokoa magaidi wa Daesh Afghanistan
Jun 22, 2019 08:47Jeshi la Marekani limetumia helikopta zake kuwaokoa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Afghanistan, kufuatia operesheni kali ya wapiganaji wa Taliban ya kulitokomeza genge hilo la ukufurishaji mashariki mwa nchi.
-
Bensouda aitaka ICC ifungue upya faili la jinai za askari wa Marekani, Afghanistan
Jun 08, 2019 22:37Fatou Bensouda, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewasilisha ombi la kutaka kufunguliwa upya faili la jinai za kivita za askari wa Marekani nchini Afghanistan kati ya mwaka 2003 na 2004.
-
Tahadhari yatolewa juu ya njama za Marekani za kuliweka genge la ISIS mahala pa Taleban Afghanistan
May 08, 2019 23:44Katibu Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Tibyan nchini Afghanistan ametahadharisha kuhusu njama chafu za serikali ya Marekani za kuliweka kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) mahala pa kundi la Taleban nchini humo.
-
Jumapili, tarehe 28, 2019
Apr 28, 2019 23:46Leo ni Jumapili tarehe 22 Sha'ban 1440 Hijiria, sawa na tarehe 28 Aprili 2019 Miladia.
-
Jeshi la Marekani linawaruhusu wanachama wa Daesh waingie Afghanistan
Apr 23, 2019 09:45Ripoti mpya imefichua kuwa, jeshi la Marekani limekuwa likiwaruhusu wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) pamoja na silaha zao kuingia nchini Afghanistan.
-
Radiamali ya Donald Trump kwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC
Apr 14, 2019 03:32Rais Donald Trump wa Marekani ambaye alishika hatamu za uongozi wa nchi hiyo Januari mwaka 2017, ameamua kuchukua mkondo wa kupuuza, kukosoa na kujiondoa katika asasi na jumuiya za kimataifa.
-
Huduma ya Iran kwa wakimbizi; kigezo bora cha kuigwa duniani
Apr 12, 2019 20:47Mkuu wa Ofisi ya Shirika la Kuwahudumia Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa UNHCR akiwa safarini katika mji wa Mashhad nchini Iran amesema: "Sera za Iran za kuwahudumia wakimbizi na kuhakikisha kuwa hawana matatizo ya kimaisha na wanapata huduma za afya na elimu ni mfano wa kuigwa duniani kote"
-
Askari watano wa Marekani wauawa, saba wajeruhiwa nchini Afghanistan
Mar 23, 2019 03:32Msemaji wa kundi la Taliban, Dhabihullah Mujahid amesema kundi hilo limewaangamiza askari watano wa Marekani nchini Afghanistan.