Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    May 10, 2026 10:24

    Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo "hayakubaliki".

  • Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa

    Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa

    May 10, 2026 09:28

    Serikali ya Niger imetangaza kusimamisha shughuli za vyombo tisa vya habari vya Ufaransa, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na “usambazaji wa mara kwa mara wa maudhui yanayoweza kuhatarisha kwa kiasi kikubwa utulivu wa umma, umoja wa taifa, mshikamano wa kijamii, na uthabiti wa taasisi za Jamhuri.”

  • Marekani yatuhumiwa kulazimisha makubaliano ya afya na mikataba ya madini nchini Zambia

    Marekani yatuhumiwa kulazimisha makubaliano ya afya na mikataba ya madini nchini Zambia

    May 06, 2026 08:04

    Zambia imeishutumu Marekani kwa jaribio la kuhusisha makubaliano ya ufadhili wa sekta ya afya na mikataba ya uchimbaji madini yake ya kimkakati. Hayo yamebainika baada ya balozi wa Marekani anayemaliza muda wake kuikosoa serikali ya Zambia kwa madai ya ufisadi, udhaifu wa utawala, na ukosefu wa ushirikiano na programu za misaada ya Marekani.

  • Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco

    Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco

    May 04, 2026 09:30

    Askari wawili wa Jeshi la Marekani waliokuwa wakishiriki katika mazoezi ya kijeshi karibu na mji mmoja kusini-magharibi mwa Morocco wameripotiwa kutoweka, na hadi sasa hawajulikani waliko.

  • Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Apr 27, 2026 12:38

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetaka kuimarishwa mikakati ya kikanda ili kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria.

  • Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Apr 23, 2026 09:59

    Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

  • Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Apr 21, 2026 10:25

    Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho ya Ethiopia ambayo yalihitimisha moja ya migogoro mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika karne hii.

  • Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Apr 21, 2026 09:24

    Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.

  • Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Apr 21, 2026 08:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.

  • Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni

    Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni

    Mar 07, 2026 14:25

    Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS