-
UN yaidhinisha ombi la Afrika la kuichora tena ramani ya dunia, Marekani yapinga
Sep 05, 2026 11:28Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Ijumaa ya Septemba 04 limeidhinisha azimio la kura 164 za ndio na 1 ya hapana, linalolenga kurekebisha namna mabara yanavyoonekana kwenye ramani. Marekani ndiyo nchi pekee iliyopiga kura kulipinga azimio hilo.
-
Biashara ya utumwa: UN inasema nchi zina wajibu wa kisheria wa kuzingatia fidia
Sep 02, 2026 12:46Kwa miongo kadhaa sasa Afrika imekuwa ikidai haki na fidia. Sasa Umoja wa Mataifa unaitikia wito huo wa Waafrika.
-
Rais wa Zambia aahidi kukuza uchumi baada ya kushinda uchaguzi
Aug 19, 2026 10:49Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amesema kuwa atatumia muhula wake mpya kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuandaa fursa zaidi kwa wananchi ili kupunguza gharama za maisha.
-
Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika
Aug 18, 2026 11:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow imetiwa wasiwasi na ripoti zinazoashiria kuwa wanajeshi wa Ukraine wanahusika katika operesheni zinazotekelezwa na makundi haramu ya wanamgambo dhidi ya nchi za ukanda wa Sahel barani Afrika.
-
Interpol: Akili Mnemba (AI) inatumika katika 55% ya uhalifu wa mtandaoni barani Afrika
Aug 06, 2026 03:43Ripoti ya karibuni ya Polisi ya Kimataifa, Interpol, kuhusu tishio la uhalifu wa mtandaoni barani Afrika kwa mwaka 2026 imetoa onyo kali kuhusu jinsi teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyotumiwa kudhoofisha usalama wa kiuchumi na kijamii katika mataifa bara hilo.
-
Rais wa Somalia: Tutazuia Israel kuimarisha ushawishi wake Somaliland
Aug 03, 2026 11:10Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amesema kwamba Serikali ya Shirikisho itachanganya "nguvu na hekima" ili kuzuia "Israel" kupata nafasi au kuanzisha ushawishi wa kudumu katika eneo la "Somaliland," akisisitiza kwamba Mogadishu ingali inashikamana na umoja wa ardhi na mamlaka ya Somalia, na inapinga kwa nguvu zote kuhamisha migogoro ya "Mashariki ya Kati" hadi eneo la Pembe ya Afrika.
-
Serikali ya Ghana yaunga mkono kuongezwa muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano
Jul 31, 2026 10:17Serikali ya Ghana jana Alhamisi ilikubali pendekezo la kuongeza muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano.
-
El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia
Jul 14, 2026 03:21Shirika la Masuala ya kibinadamu limetahadharisha kuwa hali ya hewa ya El Niño inayozidi kuongezeka kwa kasi inatishia kuleta mafuriko makubwa, magonjwa na ukame katika baadhi ya jamii zilizo hatarini zaidi duniani katika eneo la Afrika Mashariki na Asia.
-
Jumatatu, 6 Julai, 2026
Jul 06, 2026 02:20Leo ni Jumatatu tarehe 21 Muharram 1448 Hijiria, sawa na tarehe 16 Julai 2026.
-
Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria
Jun 21, 2026 04:38Karne nyingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki, moja ya masuala nyeti zaidi ya kihistoria yameibuka tena katika mji mkuu wa Ghana, Accra, ambapo Mkutano wa Dunia kuhusu Fidia ya Utumwa na Haki ya Kihistoria ulihitimishwa jana, huku Afrika ikitaka kuwepo mfumo wa vitendo wa kufidia jamii ambazo bado zinateseka kutokana na athari mbaya za enzi hizo.