-
Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa mamlaka ya kujitawala Sudan
Nov 01, 2025 09:40Iran imesisitiza udharura wa kuendelea kuunga mkono uhuru, umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala nchi ya Sudan huku vurugu kubwa zikiendelea kulitikisa taifa hilo la Afrika.
-
Iran na Niger zasisitiza kupanua ushirikiano wa utalii
Oct 30, 2025 13:51Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Jamhuri ya Niger leo Alkhamisi amebadilishana mawazo na Waziri wa Utalii na Kazi za Mikono wa nchi hiyo kuhusu ushirikiano wa pamoja katika uga wa utalii.
-
Maandamano ya Tunisia na Morocco; dhihirisho la kuunga mkono Wapalestina barani Afrika
Oct 28, 2025 11:45Wimbi jipya la uungaji mkono kwa Wapalestina barani Afrika limekwenda sambamba na kulaani vitendo vya kijinai vya utawala haramu wa Israel.
-
Rais wa Namibia amfukuza kazi Naibu Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Oct 27, 2025 06:35Rais Netumbo Nandi-Ndaitwah wa Namibia jana alimfukuza kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Viwanda, Natangwe Ithete.
-
Je, kujenga vinu vya nyuklia kutaiwezesha Afrika au kutaimarisha utegemezi wa kigeni?
Oct 23, 2025 11:14Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed mwezi uliopita alitangaza mipango ya kujenga vinu vya kwanza vya nyuklia nchini humo na hivyo kuashiria hamu kubwa ya bara la Afrika ya kumiliki nishati ya atomiki. Nchi za bara la Afrika zinahitaji kukidhi mahitaji ya nishati yanayoongezeka kila siku na kupunguza utegemezi wa nishati ya kisukuku.
-
Makumi waaga dunia katika mlipuko wa lori la mafuta nchini Nigeria
Oct 23, 2025 02:33Makumi ya watu wameripotiwa kufariki dunia katika mlipuko wa lori la mafuta nchini Nigeria. Ripoti zinasema tukio hilo limetokea katika jimbo la kati la Niger nchini Nigeria baada ya gari hilo kuteleza kutoka barabarani na kuanguka, na kumwaga mafuta.
-
Kwa nini Afrika ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Iran?
Oct 22, 2025 02:31Mkuu wa Jumuiya ya Biashara ya Pamoja ya Iran na Afrika amesema: "bara la Afrika ni hazina iliyofichika ya uchumi wa dunia na fursa kubwa kwa Iran."
-
Kanali Randrianirina aapishwa kuwa rais mpya wa Madagacar, SADC yaunda timu
Oct 17, 2025 11:59Kanali wa kijeshi, Michael Randrianirina, ameapishwa leo Ijumaa kuwa rais wa Madagascar katika mji mkuu, Antananarivo huku umuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) ikimteua Rais wa zamani wa Malawi Joyce Banda kuongoza ujumbe wa kutafuta ukweli nchini Madagascar kufuatia matukio ya hivi karibuni ya kisiasa na kiusalama nchini humo.
-
Lavrov: Nchi za Magharibi zinachochea migawanyiko Afrika
Oct 15, 2025 11:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kivuli cha ukoloni kinasalia kuwa chanzo kikuu cha migogoro barani Afrika, na wakoloni wa zamani, sasa hivi wanajaribu kukwepa uwajibikaji kwa kuilaumu Moscow.
-
Ruto: Kuondolewa viza Afrika kutatatua changamoto za bara hilo
Oct 10, 2025 06:35Rais William Ruto wa Kenya ameahidi kuongoza juhudi za kuondoa masharti ya viza kwa Waafrika na kutatua mizozo inayokumba bara hilo.