Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi

    Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi

    Jun 06, 2026 04:31

    Serikali ya Mali imezindua kifurushi kisicho cha kawaida cha hatua za usalama, kikijumuisha zawadi kubwa za kifedha na hatua kali, kama sehemu ya kuzidisha mapambano dhidi ya makundi ya waasi yenye silaha ambayo yamezidisha mashambulizi katika miezi ya hivi karibuni, haswa baada ya shambulio la umwagaji damu la Aprili 25 lililomuua Waziri wa Ulinzi wa Mali.

  • WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    Jun 06, 2026 03:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.

  • Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    May 30, 2026 08:17

    Wapenzi wasikilizaji, Ukoloni wa karne ya kumi na tisa haukuwa wa kuhodhi ardhi tu za mataifa, bali ulikuwa mfumo na utaratibu maalumu ulioratibiwa kwa ajili ya kuuhamisha utajiri wa Afrika na kuupeleka Ulaya. Katika kipindi kilichojulikana kama “ Uvamizi wa Afrika”, Uingereza ilitumia nguvu zake za kiuchumi pamoja na makampuni binafsi kuanzisha ubeberu wa kimuundo na ulio endelevu wa kuzihodhi rasilimali za bara hilo.

  • Jumatatu, 25 Mei, 2026

    Jumatatu, 25 Mei, 2026

    May 25, 2026 04:02

    Leo ni Jumatatu tarehe 8 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria, mwafaka na 25 Mei 2026.

  • Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    May 10, 2026 10:24

    Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo "hayakubaliki".

  • Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa

    Niger yasimamisha vyombo tisa vya habari vya Ufaransa

    May 10, 2026 09:28

    Serikali ya Niger imetangaza kusimamisha shughuli za vyombo tisa vya habari vya Ufaransa, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na “usambazaji wa mara kwa mara wa maudhui yanayoweza kuhatarisha kwa kiasi kikubwa utulivu wa umma, umoja wa taifa, mshikamano wa kijamii, na uthabiti wa taasisi za Jamhuri.”

  • Marekani yatuhumiwa kulazimisha makubaliano ya afya na mikataba ya madini nchini Zambia

    Marekani yatuhumiwa kulazimisha makubaliano ya afya na mikataba ya madini nchini Zambia

    May 06, 2026 08:04

    Zambia imeishutumu Marekani kwa jaribio la kuhusisha makubaliano ya ufadhili wa sekta ya afya na mikataba ya uchimbaji madini yake ya kimkakati. Hayo yamebainika baada ya balozi wa Marekani anayemaliza muda wake kuikosoa serikali ya Zambia kwa madai ya ufisadi, udhaifu wa utawala, na ukosefu wa ushirikiano na programu za misaada ya Marekani.

  • Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco

    Askari wa Marekani watoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi Morocco

    May 04, 2026 09:30

    Askari wawili wa Jeshi la Marekani waliokuwa wakishiriki katika mazoezi ya kijeshi karibu na mji mmoja kusini-magharibi mwa Morocco wameripotiwa kutoweka, na hadi sasa hawajulikani waliko.

  • Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Apr 27, 2026 12:38

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetaka kuimarishwa mikakati ya kikanda ili kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria.

  • Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Apr 23, 2026 09:59

    Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS