Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba

    Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba

    Apr 30, 2025 07:19

    Mshauri Mkuu wa Waziri wa Afya na Elimu ya Tiba wa Iran ametangaza utayarifu wa sekta ya afya ya Jamhuri ya Kiislamu wa Iran kupanua ushirikiano wa kiuchumi na nchi za Kiafrika.

  • Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Apr 30, 2025 02:29

    Mkutano wa tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika ulifanyika mjini Tehran wakati kivuli kizito cha sera za nchi za Magharibi dhidi ya Iran na Afrika kimeathiri mahusiano mengi ya kimataifa kati ya Iran na Afrika.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Apr 27, 2025 13:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amezungumzia uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, Iran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.

  • Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54

    Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54

    Apr 24, 2025 10:37

    Msemaji wa serikali ya Benin, Wilfried Leandre Houngbedji amesema idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi mnamo Aprili 17 ni 54.

  • Mawaziri wa Afya wa Afrika wazindua kampeni ya chanjo ya Polio katika eneo la Bonde la Ziwa Chad

    Mawaziri wa Afya wa Afrika wazindua kampeni ya chanjo ya Polio katika eneo la Bonde la Ziwa Chad

    Apr 18, 2025 14:15

    Mawaziri wa afya wa Afrika kutoka eneo la Bonde la Ziwa Chad wamezindua kampeni ya chanjo yenye lengo la kuwalinda watoto milioni 83 walio chini ya umri wa miaka 5 dhidi ya aina ya pili ya ugonjwa wa Polio.

  • Kofi la Afrika kwa Uzayuni; Mwakilishi wa Israel afukuzwa makao makuu ya AU

    Kofi la Afrika kwa Uzayuni; Mwakilishi wa Israel afukuzwa makao makuu ya AU

    Apr 09, 2025 03:06

    Jumatatu wiki hii balozi wa Israel nchini Ethiopia, Abraham Negussie, alifukuzwa katika Ukumbi wa Mandela katika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa.

  • Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika

    Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika

    Apr 08, 2025 06:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Abdoulaye Diop amesema Ukraine inavuruga utulivu barani Afrika kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani humo.

  • Nia ya Russia ya kuzidisha uwepo wake barani Afrika

    Nia ya Russia ya kuzidisha uwepo wake barani Afrika

    Apr 06, 2025 07:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov ametangaza utayarifu wa nchi yake kutoa msaada wa pande zote kwa Muungano wa Nchi za Sahel barani Afrika katika nyanja za ulinzi, usalama na uchumi.

  • Russia: Tuko tayari kuunga mkono uhuru wa kidijitali wa Afrika

    Russia: Tuko tayari kuunga mkono uhuru wa kidijitali wa Afrika

    Apr 03, 2025 02:31

    Russia imesema iko tayari kupiga jeki nchi za Afrika katika kuendeleza teknolojia zinazohakikisha kuwa kuna utoshelevu na zinaheshimu mamlaka ya kujitawala nchi za bara hilo.

  • Guinea yatoa msamaha uliobua utata kwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Dadis Camara

    Guinea yatoa msamaha uliobua utata kwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Dadis Camara

    Mar 30, 2025 02:38

    Katika uamuzi wa kutatanisha, kiongozi wa utawala wa kijeshi wa Guinea, Jenerali Mamadi Doumbouya, ametoa msamaha wa rais kwa mtawala wa zamani wa kijeshi Moussa Dadis Camara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS