Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • "Akthari ya madini yanayohitajika na sekta ya nishati duniani yapo Afrika"

    Feb 06, 2024 07:31

    Rais wa Afrika Kusini amesema aghalabu ya madini ya thamani yanayohitajika katika mageuzi makubwa kwenye sekta ya nishati duniani yanapatikana katika ardhi ya Afrika.

  • Papa adai Maaskofu wa Afrika wanapinga kubarikiwa 'mashoga' kwa sababu ya imani za kiutamaduni

    Papa adai Maaskofu wa Afrika wanapinga kubarikiwa 'mashoga' kwa sababu ya imani za kiutamaduni

    Jan 30, 2024 23:13

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema, upinzani kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki barani Afrika kwa agizo lake la kuwaruhusu makasisi kubariki watu wa jinsia moja wanaoishi kiunyumba, ni "kesi maalumu" inayochochewa na imani zao za kiutamaduni.

  • Katibu Mkuu wa UN: Afrika inapaswa kuwa na mwakilishi katika Baraza la Usalama

    Katibu Mkuu wa UN: Afrika inapaswa kuwa na mwakilishi katika Baraza la Usalama

    Jan 21, 2024 04:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelikosoa Baraza la Usalama la umoja huo kwa kutokuwa na mwakilishi wa kudumu kutoka Afrika. Guterres amehoji katika ukurasa wake wa X kwamba: "Je, tunawezaje kukubali kwamba Afrika haina hata mwanachama mmoja wa kudumu katika Baraza la Usalama?"

  • Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Jan 13, 2024 02:46

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitangaza Cabo Verde kuwa nchi isiyo na Malaria kwa kufanikiwa kuutokomeza ugonjwa huo na kuipatia cheti rasmi cha uthibitisho.

  • Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Jan 04, 2024 23:02

    Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha ripoti zinazodai kuwa, utawala wa Kizayuni unafanya mazungumzo ya siri ili kuwahamisha kwa nguvu mamilioni ya wakazi wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi nyingine za Afrika.

  • Kiongozi wa zamani wa upinzani Chad ateuliwa kuwa Waziri Mkuu

    Kiongozi wa zamani wa upinzani Chad ateuliwa kuwa Waziri Mkuu

    Jan 02, 2024 03:34

    Serikali ya mpito ya Chad imemteua Succes Masra, kiongozi wa zamani wa upinzani ambaye alirejea nchini humo hivi karibuni kutoka uhamishoni, kuwa Waziri Mkuu.

  • M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    Dec 25, 2023 07:12

    Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.

  • Zaidi ya dola bilioni 1.8 kukusanywa ili kusaidia utengenezaji wa chanjo barani Afrika

    Zaidi ya dola bilioni 1.8 kukusanywa ili kusaidia utengenezaji wa chanjo barani Afrika

    Dec 08, 2023 22:58

    Taasisi ya Kimataifa ya Muungano wa Chanjo Gavi imetangaza maamuzi kadhaa iliyochukua ambayo yatasaidia nchi zenye kipato cha chini kukabiliana na athari za janga la COVID-19 na kuziwezesha kukabiliana na majanga ya kiafya katika siku zijazo. Maamuzi haya yamechukuliwa katika mkutano wa siku mbili chini ya uwenyeji wa serikali ya Ghana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Accra.

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 00:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

  • Makumi wauawa Sierra Leone, wafungwa 2,000 watoroka jela

    Makumi wauawa Sierra Leone, wafungwa 2,000 watoroka jela

    Nov 28, 2023 02:36

    Makumi ya watu waliuawa huku wafungwa karibu 2,000 wakitoroka jela katika mashambulio ya Jumapili dhidi ya kambi ya jeshi, gereza na maeneo mengine nchini Sierra Leone.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS