Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini

    Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini

    May 28, 2026 11:55

    Kundi la kwanza la karibu Waghana 300 waliorudishwa kutoka Afrika Kusini kutokana na hujuma za kupinga wahamiaji, liliwasili Accra jana Jumatano.

  • Kwa nini mashambulizi dhidi ya wageni yanaongezeka Afrika Kusini?

    Kwa nini mashambulizi dhidi ya wageni yanaongezeka Afrika Kusini?

    May 23, 2026 12:20

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeonya kuhusu wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini huku makundi yanayopinga wahamiaji na wageni nchini humo yakiendelea kuandamana na kushajiiisha vitendo vya kuwalenga raia wa kigeni wakiwemo Wazimbabwe.

  • Waziri: Marekani haiwezi kuizuia Afrika Kusini kushiriki  kwenye kikao cha G20

    Waziri: Marekani haiwezi kuizuia Afrika Kusini kushiriki kwenye kikao cha G20

    May 18, 2026 04:30

    Waziri wa Afrika Kusini wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Ronald Lamola, amesema Marekani haiwezi kuizuia nchi yake kushiriki kwenye Mkutano wa kilele wa nchi za G20 mwezi Desemba, akisisitiza kuwa nchi hiyo ni mwanachama mwanzilishi.

  • Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini

    Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini

    May 13, 2026 12:05

    Ghana imetangaza kwamba imeanzisha mchakato wa kuwahamisha takriban raia wake 300 kutoka Afrika Kusini kufuatia wimbi la maandamano dhidi ya wageni.

  • Ramaphosa: Hujuma dhidi ya wageni haziakisi maoni ya Afrika Kusini

    Ramaphosa: Hujuma dhidi ya wageni haziakisi maoni ya Afrika Kusini

    May 12, 2026 04:04

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa "wahalifu walipanga mashambulizi dhidi ya wageni na kuzitoa hofu nchi nyingine za Afrika, ambazo zimeelezea wasiwasi wao kuhusu raia wake waliopo Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini yabaini maambukizi ya virusi vya Hanter vinavyohusishwa na meli ya utalii

    Afrika Kusini yabaini maambukizi ya virusi vya Hanter vinavyohusishwa na meli ya utalii

    May 06, 2026 10:24

    Afrika Kusini imebaini virusi kwa jina la Hanter aina ya Andes ambavyo hueneza maambukizi kutoka kwa binadamu kwenda kwa binadamu katika watu wawili waliotoka kwenye meli iliyokumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Haya yameelezwa leo bungeni na Waziri wa Afya wa nchi hiyo.

  • Afrika Kusini: Tutafuta zaidi ya viza 2,000 zilizotolewa kupitia mitandao ya rushwa

    Afrika Kusini: Tutafuta zaidi ya viza 2,000 zilizotolewa kupitia mitandao ya rushwa

    Feb 24, 2026 07:41

    Afrika Kusini inajiandaa kufuta zaidi ya viza 2,000 ambazo zimepatikana kwa njia isiyo sahihi, huku serikali ikiendesha msako mkali wa kupambana na rushwa ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

  • Afrika Kusini yatoa wito kwa nchi wanachama wa UN kulitambua taifa la Palestina

    Afrika Kusini yatoa wito kwa nchi wanachama wa UN kulitambua taifa la Palestina

    Feb 24, 2026 04:31

    Afrika Kusini jana Jumatatu ilitoa wito kwa nchi zote wanachama wa Umoja wa Mataifa kulitambua taifa la Palestina na kudhihirisha mshikamano na wananchi wa Palestina.

  • Afrika Kusini: Ramaphosa atangaza kutumwa jeshi kukabiliana na jinai

    Afrika Kusini: Ramaphosa atangaza kutumwa jeshi kukabiliana na jinai

    Feb 13, 2026 03:49

    Katika jitihada za kupunguza viwango vya juu vya magenge ya uhalifu na jinai nyingine, Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa atatuma jeshi ili kushirikiana na polisi katika suala hilo.

  • Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo

    Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo

    Feb 08, 2026 05:42

    Afrika Kusini imesema kuwa itaondoa wanajeshi wake 700 waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS