Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Machafuko ya Afrika Kusini yamlazimisha Ramaphosa kukatisha ziara yake UK

    Machafuko ya Afrika Kusini yamlazimisha Ramaphosa kukatisha ziara yake UK

    Apr 20, 2018 23:07

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amelazimika kukatisha ziara yake nchini Uingereza na kurejea nyumbani ili kwenda kukabiliana na machafuko.

  • Kulazimishwa kujiuzulu Jacob Zuma kumezusha mgogoro wa kisiasa Afrika Kusini

    Kulazimishwa kujiuzulu Jacob Zuma kumezusha mgogoro wa kisiasa Afrika Kusini

    Apr 07, 2018 11:26

    Kitendo cha kulazimishwa Jacob Zuma kujiuzulu urais kabla ya kumalizika muda wake huko Afrika Kusini si tu kimekiathiri chama tawala cha ANC, lakini pia kimezusha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Kesi ya Jacob Zuma yaakhirishwa hadi Juni 8

    Kesi ya Jacob Zuma yaakhirishwa hadi Juni 8

    Apr 06, 2018 23:21

    Kesi inayomkabili Jacob Zuma Rais wa zamani wa Afrika Kusini ya ufisadi wa mali ya umma unaohusiana na kashfa ya silaha jana iliakhirishwa na sasa inatarajiwa kusikilizwa tena Juuni 8 mwaka huu.

  • ANC yamkana Jacob Zuma katika kesi ya ufisadi

    ANC yamkana Jacob Zuma katika kesi ya ufisadi

    Mar 26, 2018 03:29

    Katibu Mkuu wa chama cha ANC, Ace Magashule amesema kuwa, chama hicho tawala cha Afrika Kusini hakihusiki na vitendo vya ufisadi vinavyodaiwa kufanywa na rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma.

  • Nchi za kusini mwa Afrika kushirikiana kupambana na Listeria

    Nchi za kusini mwa Afrika kushirikiana kupambana na Listeria

    Mar 16, 2018 03:53

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi Kusini mwa Afrika (SADC) zimekubaliana kushirikiana kupambana na ugonjwa wa listeriosis ulioibuka nchini Afrika Kusini.

  • Ramaphosa ameazimia kutatua suala la ardhi mara moja na kwa ajili ya wote

    Ramaphosa ameazimia kutatua suala la ardhi mara moja na kwa ajili ya wote

    Mar 01, 2018 12:05

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema leo kuwa anataka mazungumzo kuhusu mjadala uliozua wasiwasi wa utaifishaji wa ardhi yajiepushe na kuibua hali yoyote ya hofu na kwamba mazungumzo hayo yana lengo la kulipatia ufumbuzi mara moja na kwa ajili ya wote suala la kutokuwepo mlingano wa kitaifa katika umiliki wa ardhi.

  • Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini kutangaza uamuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili Zuma

    Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini kutangaza uamuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili Zuma

    Feb 26, 2018 10:54

    Waendesha mashtaka wa serikali ya Afrika Kusini wanatazamia kutangaza katika muda wa wiki mbili zijazo iwapo watazirejesha tena tuhuma zinazomkabili Jacob Zuma, rais wa nchi hiyo aliyejiuzulu hivi karibuni au la.

  • Rais Rouhani wa Iran ampongeza Ramaphosa, Rais mpya wa Afrika Kusini

    Rais Rouhani wa Iran ampongeza Ramaphosa, Rais mpya wa Afrika Kusini

    Feb 26, 2018 10:42

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Cyril Ramaphosa kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Afrika Kusini.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Feb 23, 2018 04:19

    Rais mpya wa Afrika Kusini ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kuanguka ndege ya abiria Jumapili asubuhi hapa Iran na kuua watu wote 66 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.

  • Ramaphosa aahidi kuwapokonya mashamba wazungu, Afrika Kusini

    Ramaphosa aahidi kuwapokonya mashamba wazungu, Afrika Kusini

    Feb 22, 2018 23:32

    Rais mpya wa Afrika Kusini ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na wazungu nchini humo tangu mwaka 1600 na kuyagawa kwa wazalendo wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS