Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria: Kuna hatari UNSC likashindwa kwa mara ya tatu kuzuia mauaji ya kimbari kufuatia kura ya veto ya US

    Algeria: Kuna hatari UNSC likashindwa kwa mara ya tatu kuzuia mauaji ya kimbari kufuatia kura ya veto ya US

    Sep 20, 2025 02:39

    Algeria imelitahadharisha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba linakabiliwa na hatari ya kukariri kushindwa kwake mtawalia katika miaka ya nyuma kuzuia mauaji ya kimbari baada ya Marekani kwa mara ya sita kutumia kura yake ya veto kupinga azimio lililoungwa mkono na nchi 14 wanachama kati ya nchi 15 wa UNSC.

  • Ijumaa, 19 Septemba, 2025

    Ijumaa, 19 Septemba, 2025

    Sep 19, 2025 02:31

    Leo ni Ijumaa tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 19, 2025 Miladia.

  • Jumamosi, 5 Julai, 2025

    Jumamosi, 5 Julai, 2025

    Jul 05, 2025 03:15

    Leo ni Jumamosi 9 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria mwafaka na 5 Julai 2025 Miladia.

  • Jumamosi, 14 Juni 2025

    Jumamosi, 14 Juni 2025

    Jun 14, 2025 02:17

    Leo ni Jumamosi 18 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1446 Hijria sawa na 14 Juni 2025 Miladia.

  • Wanajeshi wa Algeria waangamiza magaidi karibu na mpaka wa Tunisia

    Wanajeshi wa Algeria waangamiza magaidi karibu na mpaka wa Tunisia

    Jun 04, 2025 13:12

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limeangamiza magaidi wawili wenye silaha katika operesheni inayoendelea ya kukabiliana na magenge ya kigaidi katika mkoa wa mashariki wa Khenchela, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    May 13, 2025 03:02

    Sambamba na kuongezeka mvutano kati ya Algeria na Ufaransa, serikali ya Algiers imechukua uamuzi wa kuwafukuza maafisa wawili wa kiintelijensia wa Ufaransa waliokuwa na pasipoti za kidiplomasia.

  • Algeria yawafukuza majajusi 2 wa Ufaransa kwa kuingia nchini na pasi za bandia za kusafiria

    Algeria yawafukuza majajusi 2 wa Ufaransa kwa kuingia nchini na pasi za bandia za kusafiria

    May 12, 2025 02:02

    Serikali ya Algeria imewafukuza maajenti wawili wa ujasusi wa Ufaransa kwa kuingia nchini humo kwa kutumia "pasi bandia za kidiplomasia " ikiwa ni ishara mpya ya kuongezeka mvutano kati ya nchi mbili hizo.

  • Jumanne, Aprili 22, 2025

    Jumanne, Aprili 22, 2025

    Apr 22, 2025 02:31

    Leo ni Jumanne tarehe 23 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria sawa na tarehe 22 Aprili 2025 Milaadia.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Kufukuzwa wanadiplomasia; Je, kwa mara nyingine Algeria imeasi dhidi ya Ufaransa?

    Apr 20, 2025 02:25

    Huku mvutano ukishadidi katika uhusiano wa kisiasa kati ya Ufaransa na Algeria, nchi hizo mbili zimewafukuza wanadiplomasia kadhaa kutoka katika nchi zao.

  • Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

    Apr 14, 2025 13:09

    Mvutano wa kidiplomasia kati ya Algeria na Ufaransa umezidi kupamba moto huku serikali ya Algiers ikiwataka wanadiplomasia 12 wa mkoloni huyo wa zamani wa Ulaya kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS