-
Mgogoro wa nishati Ufaransa wamlazimisha Macron kuzuru koloni la zamani
Aug 26, 2022 07:05Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewasili Algeria, koloni la kitambo la nchi hiyo ya Ulaya katika safari inayolenga kuitaka nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iongeze kiwango cha gesi inayouza barani Ulaya.
-
Algeria na Tunisia zalaani kuuliwa wananchi madhulumu wa Palestina
Aug 06, 2022 07:35Wizara za Mambo ya Nje za Algeria na Tunisia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwaua wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Mwanamichezo shujaa wa Algeria akataa kucheza kwa Wazayuni
Jul 29, 2022 07:02Mmoja wa wanamichezo shujaa wa Algeria amekataa kwenda kucheza mpira katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel ikiwa ni kuendeleza harakati ya kimataifa ya kuwaunga mkono wananchi madhlumu wa Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria yapinga tena mpango wa utawala wa ndani Sahara, yaishutumu Rabat kwa udanganyifu
Jul 18, 2022 02:30Algeria mepinga tena mpango wa kuanzisha utawala wa ndani uliopendekezwa na Morocco kwa ajili eti ya kutatua mzozo wa eneo la Sahara Magharibi linalozozaniwa kati ya Morocco na Harakati ya Polisario.
-
Mkutano wa kihistoria kati ya Haniyah na Abbas baada ya miaka 15
Jul 08, 2022 02:31Ismail Haniyah, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Mahmoud Abbas, mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, wamekutana baada ya miaka mingi ya uhusiano wa pande mbili kukatika.
-
Algeria yasimamisha uhusiano wa kitalii na Uhispania, mvutano washtadi
Jun 21, 2022 07:51Serikali ya Algeria imetangaza kusimamisha uhusiano wa kitalii wa nchi hiyo na Uhispania, huku mzozo baina mataifa hayo mawili juu ya mgogoro wa Sahara Magharibi ukiongezeka.
-
Jumatatu tarehe 20 Juni 2022
Jun 20, 2022 02:32Leo ni Jumatatu tarehe 20 Dhulqaada 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 20 Juni mwaka 2022.
-
Jumanne, Juni 14, 2022
Jun 14, 2022 01:15Leo ni Jumanne mwezi 14 Mfunguo Pili Dhulqaad, 1443 Hijiria inayosadifiana na 14 Juni 2022 Milaadia.
-
Umoja wa Ulaya waipendelea Uhispania, waionya Algeria
Jun 11, 2022 07:25Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Barrell ameonesha waziwazi kuipendelea Uhispania katika mgogoro wake na Algeria kwa kuionya Algiers kuhusu kusimamisha ushirikiano wake na Madrid.
-
Algeria yasimamisha ushirikiano na Uhispania kwa sababu ya kadhia ya Sahara Magharibi
Jun 09, 2022 12:25Algeria imechukua hatua "mara moja" kusimamisha mkataba wa Urafiki baina yake na Uhispania baada ya Madrid kubadilisha msimamo wa miongo kadhaa wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro wa Sahara Magharibi.