Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria: Ni makosa makubwa kuipa Israel hadhi na mwanachama mwangalizi AU

    Algeria: Ni makosa makubwa kuipa Israel hadhi na mwanachama mwangalizi AU

    Feb 06, 2022 09:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa ni kosa makubwa sana kuupatia utawala haramu wa Israel hadhi ya kuwa mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika (AU).

  • Algeria yasisitizia ulazima wa kuweko umoja wa Wapalestina

    Algeria yasisitizia ulazima wa kuweko umoja wa Wapalestina

    Jan 31, 2022 11:41

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesisitiza udharura wa kuweko umoja na mshikamano baina ya Wapalestina.

  • Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Jan 31, 2022 04:06

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, baada ya miezi kadhaa ya mivutano ya kidiplomasia baina ya pande hizo mbili.

  • Rais wa Algeria: Kuitetea Palestina ni kipaumbele cha serikali ya Algiers

    Rais wa Algeria: Kuitetea Palestina ni kipaumbele cha serikali ya Algiers

    Jan 19, 2022 03:26

    Rais wa Algeria ametangaza kuwa nchi yake itaendelea kulitetea taifa la Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota

    Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota

    Jan 05, 2022 07:43

    Mfalme wa Morocco amehitimisha uhudumu na kkazi za balozi wa nchi hiyo huko Algeria kutokana na kuendelea mvutano kati ya nchi mbili hizo jirani.

  • Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota

    Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota

    Jan 05, 2022 05:38

    Mfalme wa Morocco amehitimisha uhudumu na kkazi za balozi wa nchi hiyo huko Algeria kutokana na kuendelea mvutano kati ya nchi mbili hizo jirani.

  • Algeria yakadhibisha madai ya Morocco dhidi ya Iran na Hizbullah, yasema ni kichekesho

    Algeria yakadhibisha madai ya Morocco dhidi ya Iran na Hizbullah, yasema ni kichekesho

    Dec 16, 2021 16:45

    Naibu Waziri wa Mambo ya nchi za Nje wa Algeria anayeshughulikia masuala ya nchi za Kiarabu za Kiarabu za Maghreb amekadhibisha madai yaliyotolewa na Morocco kwamba jeshi la Iran au wapiganaji wa Hizbullah wamepelekwa Sahara Magharibi kwa ajili ya kuwasaidia wapiganaji wa harakati ya Polisario.

  • Tahadhari iliyotolewa na Algeria kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kulidhibiti bara la Afrika

    Tahadhari iliyotolewa na Algeria kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kulidhibiti bara la Afrika

    Dec 07, 2021 04:56

    Kwa muda mrefu sasa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umetumia sera na mbinu tofauti ili kujipenyeza na kuwa na satua katika nchi za Afrika, muhimu zaidi ikiwa ni ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na nchi za Kiarabu; sera ambayo imeweza kutekelezwa kivitendo katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita kwa msaada na uungaji mkono wa Marekani.

  • Rais wa Algeria: Nchi za Kiarabu zinapaswa kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Rais wa Algeria: Nchi za Kiarabu zinapaswa kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Israel

    Dec 07, 2021 03:31

    Rais wa Algeria amesisitiza udharura wa nchi za Kiarabu kushirikiana kwa ajili ya kusaidia mapambano ya ukombozi ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel.

  • Algeria: Morocco imetengwa kutokana na kuanzisha muungano wa kijeshi na Israel

    Algeria: Morocco imetengwa kutokana na kuanzisha muungano wa kijeshi na Israel

    Dec 04, 2021 11:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesisitiza kuwa, kadiri Morocco inavyochukua hatua yoyote ile ya kutaka kuimarisha muungano wake wa kijeshi haribifu na utawala vamizi wa Israel ndivyo inavyozidi kuwa mbali na Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS