-
Algiers: Morocco na Israel zinafanya fitina nchini Algeria
Feb 17, 2022 04:33Rais wa Algeria amesema kuwa Israel na Morocco zinafanya njama ya kuibua hitilafu kati ya Ofisi ya Rais na Jeshi la Algeria na kuzusha fitna nchini humo.
-
Jumatano tarehe 9 Februari 2022
Feb 08, 2022 22:53Leo ni Jumatano tarehe 7 Rajab 1443 Hijria sawa na tarehe 9 Februari 2022.
-
Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika
Feb 08, 2022 05:28Mkutano wa 35 wa wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe 5 na 6 za mwezi huu wa Februari huko Addis Ababa Ethiopia umesitisha hadhi ya utawala ghasibu wa Israel ya kuwa mwanachama mtazamaji katika umoja huo.
-
Algeria: Ni makosa makubwa kuipa Israel hadhi na mwanachama mwangalizi AU
Feb 06, 2022 05:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa ni kosa makubwa sana kuupatia utawala haramu wa Israel hadhi ya kuwa mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika (AU).
-
Algeria yasisitizia ulazima wa kuweko umoja wa Wapalestina
Jan 31, 2022 08:11Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesisitiza udharura wa kuweko umoja na mshikamano baina ya Wapalestina.
-
Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia
Jan 31, 2022 00:36Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, baada ya miezi kadhaa ya mivutano ya kidiplomasia baina ya pande hizo mbili.
-
Rais wa Algeria: Kuitetea Palestina ni kipaumbele cha serikali ya Algiers
Jan 18, 2022 23:56Rais wa Algeria ametangaza kuwa nchi yake itaendelea kulitetea taifa la Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota
Jan 05, 2022 04:13Mfalme wa Morocco amehitimisha uhudumu na kkazi za balozi wa nchi hiyo huko Algeria kutokana na kuendelea mvutano kati ya nchi mbili hizo jirani.
-
Mzozo baina ya nchi mbili jirani za Algeria na Morocco waendelea kutokota
Jan 05, 2022 02:08Mfalme wa Morocco amehitimisha uhudumu na kkazi za balozi wa nchi hiyo huko Algeria kutokana na kuendelea mvutano kati ya nchi mbili hizo jirani.
-
Algeria yakadhibisha madai ya Morocco dhidi ya Iran na Hizbullah, yasema ni kichekesho
Dec 16, 2021 13:15Naibu Waziri wa Mambo ya nchi za Nje wa Algeria anayeshughulikia masuala ya nchi za Kiarabu za Kiarabu za Maghreb amekadhibisha madai yaliyotolewa na Morocco kwamba jeshi la Iran au wapiganaji wa Hizbullah wamepelekwa Sahara Magharibi kwa ajili ya kuwasaidia wapiganaji wa harakati ya Polisario.